Ccm iko times two kama hujuie,,,,,,WOTE WANACCM HAMNA JIPYA HAPO
Mechi inaendelea hapa uwanja wa taifa kati ya Tanzania vs Botswana waziri mpya wa sanaa utamaduni na michezo Harryson Mwakyembe yupo hapa ametambulishwa kwa mashabiki lakini wananchi hawajaonyesha kushtuka.
Muda mchache baadae aliekuwa waziri wa michezo Nape Nauye nae ameingia hapa ila cha ajabu amepokelewa na shangwe kubwa huku mashabiki wengine wakisimama.
Ni jambo la kuvutia
ANDIKA VIZURI KWANZACcm iko times two kama hujuie,,,,,,
Mwambie na kesho front pageSanaaa,nahisi kuna mtu kanuna.
Amejijengea heshima kwa watu.
WA BISKUTI.AMEJIJENGEA HESHIMA HASA KWA WANA UKUTA
Ukiwa na sapoti ya wananchi ni jambo jema kuzidi sapoti ya rais.Ni ujinga tu ! Mashabiki hawatamsaidia Nape chochote !
Habari mbaya sana hii kwa bavicha.Hawakawii kusema Nape kanunuliwa
Hujajua mchezo mnaochezewa na UKAWAHakika ni jambo la kuvutia kwakuwa wote ni wana CCM.
Na ndio maana CCM inawashinda na itaendelea kuongoza taifa hili miaka 100 ijayo. Wapinzani hamjielewi....yani mtu mnamuita shujaa wa taifa hili bado yuko kijani na anamsifia Rais ambaye mnampinga wananchi tuwaeleweje sasa. Bota CCM ituongoze karne nyingine moja...