Mwakyembe na Nape wakutana uwanja wa taifa , Nape ashangiliwa

brave one

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
4,876
7,366
Mechi inaendelea hapa uwanja wa taifa kati ya Tanzania vs Botswana waziri mpya wa sanaa utamaduni na michezo Harryson Mwakyembe yupo hapa ametambulishwa kwa mashabiki lakini wananchi hawajaonyesha kushtuka.
Muda mchache baadae aliekuwa waziri wa michezo Nape Nauye nae ameingia hapa ila cha ajabu amepokelewa na shangwe kubwa huku mashabiki wengine wakisimama.
Ni jambo la kuvutia
14231fdb3cabaf9ad4d33e933163c036.jpg
b9ad7add3264629bba6b59ce9174df4d.jpg
 
Mechi inaendelea hapa uwanja wa taifa kati ya Tanzania vs Botswana waziri mpya wa sanaa utamaduni na michezo Harryson Mwakyembe yupo hapa ametambulishwa kwa mashabiki lakini wananchi hawajaonyesha kushtuka.
Muda mchache baadae aliekuwa waziri wa michezo Nape Nauye nae ameingia hapa ila cha ajabu amepokelewa na shangwe kubwa huku mashabiki wengine wakisimama.
Ni jambo la kuvutia
Picha pls
 
Mechi inaendelea hapa uwanja wa taifa kati ya Tanzania vs Botswana waziri mpya wa sanaa utamaduni na michezo Harryson Mwakyembe yupo hapa ametambulishwa kwa mashabiki lakini wananchi hawajaonyesha kushtuka.
Muda mchache baadae aliekuwa waziri wa michezo Nape Nauye nae ameingia hapa ila cha ajabu amepokelewa na shangwe kubwa huku mashabiki wengine wakisimama.
Ni jambo la kuvutia
so what?
 
Mechi inaendelea hapa uwanja wa taifa kati ya Tanzania vs Botswana waziri mpya wa sanaa utamaduni na michezo Harryson Mwakyembe yupo hapa ametambulishwa kwa mashabiki lakini wananchi hawajaonyesha kushtuka.
Muda mchache baadae aliekuwa waziri wa michezo Nape Nauye nae ameingia hapa ila cha ajabu amepokelewa na shangwe kubwa huku mashabiki wengine wakisimama.
Ni jambo la kuvutia
Makonda je?
Hajafika ??
 
Back
Top Bottom