brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Mechi inaendelea hapa uwanja wa taifa kati ya Tanzania vs Botswana waziri mpya wa sanaa utamaduni na michezo Harryson Mwakyembe yupo hapa ametambulishwa kwa mashabiki lakini wananchi hawajaonyesha kushtuka.
Muda mchache baadae aliekuwa waziri wa michezo Nape Nauye nae ameingia hapa ila cha ajabu amepokelewa na shangwe kubwa huku mashabiki wengine wakisimama.
Ni jambo la kuvutia
Muda mchache baadae aliekuwa waziri wa michezo Nape Nauye nae ameingia hapa ila cha ajabu amepokelewa na shangwe kubwa huku mashabiki wengine wakisimama.
Ni jambo la kuvutia