GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,874
Kama patatokea ' machafuko ' yoyote yale nchini Tanzania basi hili Gazeti la TANZANITE litahusika kwa 100%.
Ni Gazeti la ' Kihuni ' na ambalo 24/7 linaandika tu ' Uhuni ' huku Wahusika wakuu na wenye ' Mamlaka ' wakinyamaza, wakilicheke na hata ' Kulidekeza '
Kama kuna ' Kichocheo ' Kikubwa ambacho kilipekea ' Rwanda Genocide ' ya mwaka 1994 bali ilikuwa ni Redio iliyokuwa ikiitwa RTLM ambayo yenyewe ' Maudhui ' yake makubwa ilikuwa ni ' Kuwachafua ' Watu au Kundi fulani kwa faida ya akina fulani wenye ' Mamlaka ' ila ' Kilivyonuka ' nadhani dunia nzima ilitikisika kama siyo kutetemeka kwa kilichotokea.
Nina uhakika aina ya Uandishi wa Gazeti la TANZANITE ( ambaye Mmiliki wake hata Mkuu wa Mashetani Lucifa ) anaufahamu na analifahamu ungekuwa unaandikwa na Magazeti kama ya Tanzania Daima au MWANANCHI basi nina uhakika kwamba si tu kwamba hayo Magazeti ' yangefungwa ' kimoja bali pengine Waandishi wake yangewakuta ya Marehemu Jamal Khashoggi.
Kuanzia leo nalipa ' Ubatizo ' mpya na wa ' Kutukuka ' hili Gazeti ambapo sasa naliita Gazeti la Kigaidi na linalomilikiwa na Gaidi na hata Waandishi wake wote wa Habari nao ni Magaidi vile vile.
Nimemaliza.
Nawasilisha.
Ni Gazeti la ' Kihuni ' na ambalo 24/7 linaandika tu ' Uhuni ' huku Wahusika wakuu na wenye ' Mamlaka ' wakinyamaza, wakilicheke na hata ' Kulidekeza '
Kama kuna ' Kichocheo ' Kikubwa ambacho kilipekea ' Rwanda Genocide ' ya mwaka 1994 bali ilikuwa ni Redio iliyokuwa ikiitwa RTLM ambayo yenyewe ' Maudhui ' yake makubwa ilikuwa ni ' Kuwachafua ' Watu au Kundi fulani kwa faida ya akina fulani wenye ' Mamlaka ' ila ' Kilivyonuka ' nadhani dunia nzima ilitikisika kama siyo kutetemeka kwa kilichotokea.
Nina uhakika aina ya Uandishi wa Gazeti la TANZANITE ( ambaye Mmiliki wake hata Mkuu wa Mashetani Lucifa ) anaufahamu na analifahamu ungekuwa unaandikwa na Magazeti kama ya Tanzania Daima au MWANANCHI basi nina uhakika kwamba si tu kwamba hayo Magazeti ' yangefungwa ' kimoja bali pengine Waandishi wake yangewakuta ya Marehemu Jamal Khashoggi.
Kuanzia leo nalipa ' Ubatizo ' mpya na wa ' Kutukuka ' hili Gazeti ambapo sasa naliita Gazeti la Kigaidi na linalomilikiwa na Gaidi na hata Waandishi wake wote wa Habari nao ni Magaidi vile vile.
Nimemaliza.
Nawasilisha.