analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 729
- 612
Sasa mbeya kunaniiiii mwandosa ajarudi leo mwakyembe.DOOOO Rwanda yanukiaaaaa
This is typical serial killings!!
Sasa mbeya kunaniiiii mwandosa ajarudi leo mwakyembe.DOOOO Rwanda yanukiaaaaa
Taaban maana yake nini hapa?wame establish wapi kuwa alipewa sumu?
inawezekana ikawa just food poisoning....
Taaban!
mkuu labda kama unataka tubishane tu lakini taarifa licha ya kuwa ziko polisi hata humu JF zipo ya kwanza ile ya ajari na ya pili ni ile ya Al-shabab...
Kuelekea mbio za uraisi 2015 naona magamba wanawamaliza wale wote wenye kutishia kupita kwa 'yule wamtakae'
1. Walianza na Lowassa, saiv tunamuona kila siku Nigeria anaombewa (watu wake wa karibu wanasema hali yake si nzuri)
2. Wakaja kwa Mwandosya (Watu wake wa karibu wanasema nae hali yake si nzuri)
3. Wamekuja kwa Mwakyembe
Next? Sumaye? Magufuli?....
huyu mheshimiwa tangu aingie kwenye siasa imekuwa ni kizungumkuti tu - i think it is high time arudi chuoni akaendelee kutufundishia wanasheria wetu sasa
Ni wapi alipoishutumu Serikali? wacha kubadili mada na udaku uliouleta. Wewe umesema anaishutumu Serikali. Kwani yeye yuko serikali gani? na hiyo polisi ni Serikali ipi? wacheni hizo. Kama anamshutumu mtu hapo tutakubaliana au mtu mmoja au wawili wakishutumiwa ndio wameshakuwa Serikali? Serikali kwa nguvu ilizokuwa nazo ikitaka kumuuwa hatopata nafasi hata ya kusema kwiii. Umelala doro.
watakuwa mahasimu wake kisiasa tu hawa
MUNGU amponye haraka kwa ustawi TANZANIA
ya kweli hayo!?
BobT
Join Date : 7th October 2011
Posts : 1
Thanks :0 Thanked 0
Times in 0 Posts
Rep Power : 0
Mungu amnusuru apone ili ashuhudie kifo cha ccm. Tatizo lake huyu naye ni mnafiki kama mwenzie six.
Kwani yeye alikuwa nani, magwanda?
Kapewa na nani sumu? Mkewe?
ya kweli hayo!?
BobT
Join Date : 7th October 2011
Posts : 1
Thanks :0 Thanked 0
Times in 0 Posts
Rep Power : 0
What exactly are you trying to say?
Ndugu wana JF hizi ni taarifa za uhakika kabisa, Dr. Mwakyembe Kapewa sumu amevimba mwili mzima hali ni mbaya nilipopata habari hizi walikuwa wanafanya mpango kumkimbiza India. Nitarudi nikipata habari kwa undani
Nawakilisha
kumbe unajua nyie wanawake sio waaminifu enhee....?
usha jaribu kumroga mmeo?
hapa umenena......inatia shaka........nitasikitika sana kama si habari ya kweli.....ya kweli hayo!?
BobT
Join Date : 7th October 2011
Posts : 1
Thanks :0 Thanked 0
Times in 0 Posts
Rep Power : 0
bado tu hujapata habari kwa undani?! basi huyo aliyekupa tetesi akupe muendelezo wa hizo tetesi zenu!