Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Hapa Mwakyembe anataka tuamini kuvaa suti na raba tu ndio kunakotufanya tudhaurike na mataifa mengine. Japo ana point kuhusu presentation lakini ni hoja dhaifu kusema mavazi tu......
Si bora wavae raba waongee vya maana? Kuliko mukulu aliesema we are manufacturing teachers huku kavaa suti ya kuhongwa na viatu vya complimentary! In the end ur brain is supposed to sell u. When u got brains, very few will care about looks and dressings!
:biggrin1: hapo mwakyembe kampiga mtu dongo....eti suti na raba hivi kweli kuna mtanzania alikua akiwa kwenye mikutano huko nje anavaa suti na raba? na sio hiyo tu pia wakiwa huko kwenye mikutano nina uhakika hata kiingereza walikua hawakijui kwa hiyo walikua wakiongea wenzao wanawacheka tu.. juzi wakati wa kuchagua wabunge wa bunge la afrika mashariki ndio nilipojua kua kweli watanzania hatujui kiingereza, nna uhakika hata wakenya na waganda wanatuchekaga sana wakiwa kwenye hilo bunge la EA
Kwani ina tatizo gani? Mbona Will Smith anapigaga sana hizo tu?
Mwakyembe ni limbukeni mno.Nje ya Nchi mikutano kadhaa wazungu mnao wafuata huwa wamevaa kawaida tu na pia wakija hapa mara nyingi wanavaa kawaida sasa ubaya uko wapi .Kuvaa suti kunasaidia nini
Mwakyembe ni limbukeni mno.Nje ya Nchi mikutano kadhaa wazungu mnao wafuata huwa wamevaa kawaida tu na pia wakija hapa mara nyingi wanavaa kawaida sasa ubaya uko wapi .Kuvaa suti kunasaidia nini
Leo Mwakyembe ametoa kali bungeni wakati akijibu hoja za wabunge kuwa waache kulalamika kuwa wanapokuwa nje ya nchi kama watanzania wanadharaulika na badala yake akawaambia kuwa kama mtu unaenda nje ya nchi kwenye mkutano huku umevaa suti na raba kwanini usidharaulike.
Sasa hapa sijui alikuwa anamlenga nani ila kauli hii iliibua zogo bungeni na ilibidi mwenyekiti wa bunge Jenister Mhagama afanye jitihada kumaliza kelele zilizoibuka baada ya kauli hiyo.
Ni kweli , tunahitaji dress code kwa viongozi wetu.Naona ndugu yangu hujamuelewa, hapa ni kuvaa suti na raba! si kuvaa kawaida
Kunatakiwa semina elekezi Ngurdoto kwa viongozi wa ngazi fulani wakiwemo wabunge na mawaziri kuhusu dress codes, casual, official, dinner na table manners! bila kusahau crash programe kama ya wiki 4 hivi ili wapolish kiingereza chao; wagombea wa ubunge wa afrika mashariki walinitia kichefuchefu walipokuwa wakijieleza kabla ya uchaguzi!, teh teh teh.
mtu haeshimiwi kwa mavazi peke yake ila kilichomo kichwani mwake... Ukiwa pompompo utadharauliwa tu hata kama ungevaa suti za thamani kubwa kiasi gani.