Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Waziri wa katiba na sheria Harrison Mwakyembe amedai kukosekana kwa kesi kwenye mahakama ya mafisadi walioianzisha ni mafanikio makubwa kwa kuwa watu hivi sasa wameogopa kuiba
Mpaka sasa tangia mahaka hiyo ianzishwe mwezi Julai imepata kesi moja inayohusu uvuvi kwa kutumia nyavu harama