Ndugu wana JF
Sasa hivi naangalia bunge kupitia TBC1 kuna mbunge mwanamke sikumpata jina lake amesema mawaziri Mwakyembe, Magufuli na Muhongo wanafanya kazi na vyombo vya habari kwamba ni mabomu kuliko mawaziri wengine wanaotajwa kuwa mizigo. Inawezekana maneno ya huyu mama yakawa na ukweli. Tujadili
Sasa hivi naangalia bunge kupitia TBC1 kuna mbunge mwanamke sikumpata jina lake amesema mawaziri Mwakyembe, Magufuli na Muhongo wanafanya kazi na vyombo vya habari kwamba ni mabomu kuliko mawaziri wengine wanaotajwa kuwa mizigo. Inawezekana maneno ya huyu mama yakawa na ukweli. Tujadili