Na anaibeba kweli,afu utasikia sijiudhuru ng'o.inapokuwa imekosea kwenye wizara zao
Mbona disco joker na padri hawajiuzulu au hujui makosa yao?
Ama ndio wewe una mahaba nao?
Kwan kila anaekosea anafaa kuadhibiwa?
Napata mashaka na uwezo wako wa kufikiria wewe!