Ukweli huwa unajitetea kama unavyojionesha kwenye hayo maandishi meusi. Kwani kila anayesoma unaona ulivyolengakuchafua haiba ya Mwakyembe. Kwa hayo machache ni seme muuongo ni wewe na ulichoandika ni kielellezo cha kuthibitisha uongo wako.Wewe mwongo... ukishaandika, maudhu ya andiko lako yako kwa wasomaji... Hiyo ni document... Ndo maana unaweza kupewa kureview kazi yako na ukawa graded 5/100 au hata zero kabisa. Mwakyembe alikana andiko lake kwa msukumo wa tumbo... Akifukuzwa leo huyu uwaziri akili zake zitarudi, atakuwa kama Nape. Na hiyo Tasnifu yake ataikumbuka ilihusu nini.