spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers,
Hii nayo ni habari ya kweli hutaki unaacha.
ukifika counter unaambiwa nafasi hakuna, waliokata kihalali ni watu kama 15,wakati watu hamsini au zaidi waliobaki wanapitia njia ya panya kwa kulipia 50,000 tu.
Napendekeza wanyongwe ili adabu na uzalendo uwepo. Hii ni dharau!!!!
Hii nayo ni habari ya kweli hutaki unaacha.
ukifika counter unaambiwa nafasi hakuna, waliokata kihalali ni watu kama 15,wakati watu hamsini au zaidi waliobaki wanapitia njia ya panya kwa kulipia 50,000 tu.
Napendekeza wanyongwe ili adabu na uzalendo uwepo. Hii ni dharau!!!!