Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Mwakyembe amepelekwa India leo mchana kwa ndege ya Qatar Airways kwa ajili ya matibabu ya kina akisindikizwa na Nelson Mwambalaswa mbunge wa Lupa, Chunya ambaye pia ni msemaji wa familia.
ITV hawajaonyesha picha zake kwa kuwa KAVIMBA VIBAYA.
Source ITV habari.
ITV hawajaonyesha picha zake kwa kuwa KAVIMBA VIBAYA.
Source ITV habari.