Likes of Mwakyembe wanapambana katika capacity zao, SWALI KUBWA TUJIULIZE " JE SISI WANANCHI HASA WADANGANYIKA TUMEFANYA NINI KATIKA HILI?". Kazi yetu ni kununua magazeti kusoma na kukaa kimya, ati ngoja tuone nn kitatokea. Tumeona wenzetu Tunisia, na sasa Misri nn kinachotakiwa kufanya.