Mwakyembe aja na sheria mpya za mitandao kuelekea uchaguzi mkuu, wengi zitawafunga hasa upinzani na wenye mlengo tofauti na Serikali

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
IMG_20200730_215128.jpg
IMG_20200730_215136.jpg
IMG_20200730_215138.jpg
IMG_20200730_215133.jpg
 
Kwa upande wangu naona haina tatizo ,
namba 1 wahanga watakua Bongo fleva na Bongo movie.

Namba 9 Mkuu anahusika.awe makini au labda kama analindwa na sheria nyinginezo.
 
Hizi Sheria zitawahusu CCM? Kama ni Sheria kwa wote basi nawaona UVCCM wakipata tabu magerezani ila kama ni kwa ajili ya Zitto Kabwe na Tundu Lisu tulizitarajia wakichoficha ni kuanza na majina yao kwenye kila Sheria.
Isomeke hivi;
1. If Tundu Lisu/ opposition, excluding CUF, MREMA, CHEYO, will.......the fine will be denied from participating general election of 28 October, 2020......
2. If Zitto, Tundu Lisu, Maalim Seif will not praise our bombardier, and will resist to join Magufuli...they will be detained for going against Stone/ Angel.
3. If UVCCM/MATAGA will publish any content showing any abuse to Tundu Lisu, Mbowe/ Opposition, this act will be treated as patriotism.
 
Hebu tutafsirieni kwa kiswahili, sisi wengine kingereza kinatupiga chenga

Ova
 
Back
Top Bottom