Mwakyembe aipasua serikali; Pinda amtaka azungumzie hali yake!

Pinda ni jitu la hovyo sana.iam just wondering how he landed to that seat
 
Hivi kwa nini Serikali ikiona mambo ya mgomo yameiva ndio yenyewe inaamka usingizini !!

Huyu WM Pinda alikuwa wapi siku zote hizo?
 
Huyu waziri mkuu wetu ana akili kweli..! Yani madeni ni kipimo cha kutosha au kutokutosha kwa kipato? Mimi nafikiri watanzania tuamke maana kawaida ya viongozi wetu kila kipato kinavyoongezeka na majukumu (hasa kukopa) yanaongezeka, sasa kama waziri mkuu anasema wanachopata ni kidogo kinaishia kwenye kulipa madeni kwani sisi tuliwachagua ili wakope na sisi tuwalipie madeni yao?

Upuuzi mtupu...
 
Serikali ipitishie bajeti za majimbo kupitia kwa Wabunge. Hamna sababu ya kuwa na halmashauri au wakurugezi wa halmashauri, kwani wabunge ndio wanajua mahitaji ya majimbo, ndio maana wanaingia madeni na kukatwa mishahara yao. Kumbe posho zinatosha tatizo ni wabunge kuhudumia mahitaji ya majimbo kwa kuwa serikali haipeleki hela na halmashauri hazina hela za kuhudumia majimbo hayo.
Je bajeti za kila mwaka huenda wapi? Ama kweli nchi haina uongozi. Kwa hali hiyo wabunge hawataingia madeni wala mfuko wa jimbo hautaishiwa.
Viongozi wote vilaza.
 
Ikulu ni mzigo kwa mtu muadilifu, lakini kwa mafisadi na madikiteta ikulu ni paradiso
 
kukaa kimya kwa mwakyembe kunaonyesha kwamba madaktari kule India walimwambia chanzo cha ugonjwa wake tofauti na kauli za kulishwa sumu na ndio maana anapata kigugumizi kuwaambia watanzania lakini pia kumuokoa Sitta aliyedai kwamba Mwakyembe kalishwa sumu
Hii inaweza ikawa na ukweli iwapo Mwakyembe ataendelea kukaidi kutoa report ya uchunguzi wa madaktari wa India. Very bad!
 
Pinda ni jitu la hovyo sana.iam just wondering how he landed to that seat
Katika mawaziri wakuu wa Tanzania, kila mmoja ukimwuliza atoe deliverables zake wote watakupatia lakini kwa Pinda sijui atajivunia amefanya nini. Ameka kaa kisiasa zaidi..siyo mtendaji!!!
 
Nothing new kwa hawa jamaa akina Pinda!!!
Siri ni kwa magonjwa ya akina Mwakyembe tu lakini kutoa taarifa ya ugonjwa wa kikwete ruksa!!!
 
Mi nadhani tuamue kutokuwa na wabunge kwa miaka mitano halafu tufanye tathimini upya kama kuna tija au vipi.maana hela tunayopoteza kwa hawa wabunge ni nyingi mno bila tija yoyote.wabunge wamekuwa kama mipaka ya ikulu ambayo haina uwezo wa kukamata panya zaidi ya kuwaonyesha wakimbilie wapi shenzi kabisa.
 
Waziri Mkuu unaonge pumba, huwezi kutetea posho za wabunge kuwa ni ndogo, unasema kuna wabunge wengine hawapati kitu kabisa mwisho wa mwezi!!!!! does it clearly click in ur minds?? eti wanamadeni mengi majimboni kwao! mtu halazimishwi kuendelea na kazi anayoona haimlipi ndo maana madaktari wanagoma na watu wa kada nyingine kwa mambo hayahaya yasiyo na kichwa wala miguu, siting allowance ya laki 2? aaah wapi. kama ni mikopo ni yao weneyewe kwa manufaa yao na familia zao na si majimbo wanayoyawakilisha, majimbo ndo yanawakopesha magari? na je pindi wamalizapo muda wao magari yanabaki kuwa ni mali ya jimbo, nyumba wanazonunua? je wamalizapo muda wao nyumba ni mali ya jimbo? biashara wanazozimiliki? hakuna huyu si mizengo pinda wa enzi za nyerere, mzee badilika bwana.
 
Gazeti larai leo limekiri kutumamwandishi wake nguli wahabari kwenda apollo hospital eti kutafuta ukweli kuhusu ugonjwa wa mwakyembe. Katika habari za kurasa za mbele leo wanakiri kuwa watapata ukweli huo, kwa kuwa akina sita ni vinara wa kudai kuwa maisha yao yako hatarini kitu ambacho kimegarimu pesa nying kuwalinda badala ya kuwatumikia wananchi
 
lazima mtu aende physically? email communication haiaminiki siku hizi?
 
"Alisema Rais Jakaya Kikwete amelikabidhi faili la mapendekezo ya posho mpya kwake (Pinda) na kuanzia sasa ndiye mwenye mamlaka ya kusaini au kutosaini."

2012 DUNIA YAKO CHAGUO LAKO CHAGUA KUWA MBUNGE UPATE 200,000/=
 
huyo mwandishi anataka posho, mbona rahisi kupata ukweli kutoka kwa mgonjwa mwenyewe kuliko kwenda apollo?

pia rahisi kuiba file wizarani kuliko kupeleka mwandishi india.

kuna magonjwa watu wanaogopa kuyasema, bora kuwaacha watu waendelee kuhisi tu.
 
Ameenda kutafuta au tayari ameshakwapuliwa wizara ya afya ila ameenda India kutengeneza mazingira?
Kuwa taarifa haijapatikana Tanzania bali India
 
Masaburi yaliyopinda. Hivi tuna viongozi au mavuta bangi tu?

Mimi pia nashangaa tunakuwaje na waziri mkuu mwenye hoja rahisi hivi? Wamekopeshwa mashangingi halafu anataka waongezewe posho kuoffset mkopo! Very strange analyais kutoka kwa waziri wetu mkuu. Sasa imagine mawaziri wa kawaida wakoje? Na ukienda chini zaido hadi kwa diwani na serikali za vijiji ndo utakita balaa kabisa! Mungu atusaidie tu lakini kwa mtaji huu hatuwezi kuendelea kamwe! Mind you tuliishawahi kuwa na mchapa kazi Lowasa aliyeenda Thailand kiutafuta mvua za kunyesha mtera! This is bongoland!!
 
Nakwambia mi hata simshangai, we angalia tu jina lake. yaani simshangai kabisa. GAMBA!!!


Hebu jikumbusheni kidogo KUPUNGUZA HASIRA ZENU

JF Senior Expert Member Array
icon1.png
True story!??????
Waziri Pinda katika ziara mikoani akatakiwa kwenda kufungua kisima cha kijiji. Alipochungulia kisimani akarudi nyuma fasta. Akaulizwa Vipi Mheshimiwa??!!!
Akauliza "Mnafuga MAMBA kisimani??
Wananchi wakasema "HAPANA" Pinda akarudi tena kuchungulia kisimani. Ghafla akacheka kumbe ilikuwa sura yake ndani ya maji!!!!!!........ Lol.​
 
Dr. Mwakyembe anapaswa kulaumiwa kwa unafiki wake! Hilo ni pigo la pili wanamkosakosa! Alipopata pigo la kwanza la ajali, alisema kwamba anamwachia Mungu!!

Safari hii amepata pigo la pili; wamemchua kwa mafuta ya kinyonga! Yote anamwachia Mungu!
Anakaa kimya ili kukinusuru chama chake kinachotaka kumtoa roho! Huyu mtu, si wa kuonea huruma hata kidogo!!

Angekuwa mwanamapinduzi wa kweli angekwishaweka mambo yote hadharani na kisha kuchukua msimamo na uamuzi wa dhati kuhusu hatima ya maisha yake!! Lakini Kwa mtindo huo wa kinafiki, asubiri tu pigo la tatu; hapo ndipo atakapomwachia Mungu yote kikwelikweli!!

Hapa sasa nami naunga mkono hoja,hapa mkuu umenena hujaacha kitu wanafiki wakubwa hawa
 
Back
Top Bottom