Mwakyembe: Aagiza BMT kuangalia namna ya kupunguza wachezaji wa kigeni Ligi Kuu

wazunguwawili

JF-Expert Member
May 29, 2019
3,984
4,131
Wasalam wadau wa michezo.

Waziri wa Habari, Michezo Sanaa na Michezoi, amelitaka Baraza la Michezo Tanzania kuangalia namna ya kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni katika ligi kuu ya Tanzania.

Amesema haya wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2020/21

Kama mdau, nini maoni yako juu ya kauli hii?

Karibuni kwa mchango. Waziri Mwakyembe ataona hapa.


Sent using iphone pro max
 
Waziri wa matamko tff ni chombo kinachojitegemea BMT hawawezi kuwaingilia
Waziri ametoa nafasi kwa BMT, Kama BMT wataona ina faa wata washirikisha TFF. BMT ikisha toa maamuzi, TFF hawatakua na jinsi watakua wakifuata muongozo wa BMT kwamaana inakua kama Sera ya michezo kwa Tanzania. Tff,Caf wala Fiffa hawata li ingilia hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri ametoa nafasi kwa BMT, Kama BMT wataona ina faa wata washirikisha TFF. BMT ikisha toa maamuzi, TFF hawatakua na jinsi watakua wakifuata muongozo wa BMT kwamaana inakua kama Sera ya michezo kwa Tanzania. Tff,Caf wala Fiffa hawata li ingilia hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo watakuwa wameingilia tff BMT ni chombo cha serikali wakati tff ni chombo huru
 
Wachezaji wa Tz wanaubora mdogo, hawataweza kupambania timu katika mashindano ya kimataifa...
Wacheza wote waki'Tz wanafanana viwango kuanzia FDL mpaka ligi kuu na hawataki kuimprove wanakula wageni wasiokua na ubora kama wao wawachukulie namba kwenye kikosi.

_ Satan _
 
Serikali inaweza kuingilia kama kuna jinai kama issue ya kina malinzi ilivyokuwa lakini haiwezi kuingilia kwenye maswala ya kanuni za mpira
Usichanganye mambo swala la idadi ya wachezaji kila nchi ina mpango wake. Tff wanachoweza kufanya ni kuiomba serikali, Wakilazimisha Waziri wa michezo anao uwezo wa kuishauri serikali ao wachezaji kutoka nje wakanyimwa vibali vya kazi au wakapewa kwa idadi ambayo serikali inataka.

Baadhi ya nchi zina sera ya idadi ya wachezaji kutoka nje. Mfano Misri. Fifa wenyewe kuna kipindi walitaka wachezaji wageni katika timummoja watakao cheza uwanjani wasizidi Watano ili kuinua vipaji vya wazawa. Sijui plan yao ili ishia wapi ila Mabeberu wa ulaya waliona ni uwendawazimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usichanganye mambo swala la idadi ya wachezaji kila nchi ina mpango wake. Tff wanachoweza kufanya ni kuiomba serikali, Wakilazimisha Waziri wa michezo anao uwezo wa kuishauri serikali ao wachezaji kutoka nje wakanyimwa vibali vya kazi au wakapewa kwa idadi ambayo serikali inataka.

Baadhi ya nchi zina sera ya idadi ya wachezaji kutoka nje. Mfano Misri. Fifa wenyewe kuna kipindi walitaka wachezaji wageni katika timummoja watakao cheza uwanjani wasizidi Watano ili kuinua vipaji vya wazawa. Sijui plan yao ili ishia wapi ila Mabeberu wa ulaya waliona ni uwendawazimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe uelewa wako ni mdogo mimi sizungumzii idadi ya wachezaji nachozungumzia ni serikali kuingilia maswala ya tff kuhusiana na kanuni usichanganye Mambo
 
Waziri kwanza angejiuliza ni klabu ngapi zina wachezaji 'wengi' wa kigeni. Kwa nini klabu zingine hazina au zina wachezaji wachache sana wa kigeni? Halafu ni klabu zipi huwa zinafanya vizuri kati ya zile zenye wageni 'wengi' au zenye wazawa ?

Sio kwamba timu zingine hazitaki wachezaji wa kigeni bali zina bajeti ndogo.Vile vile timu ambazo first 11 asilimia kubwa ni wazawa hazifanyi vizuri zaidi kuanzia ligi kuu mpaka kimataifa kuliko zenye mchanganyiko na wageni. Sababu ni kwamba wachezaji wengi wazawa hawalelewi kimpira kuanzia utoto kwa hiyo wanakosa vitu vingi.


Kwa hiyo kupunguza wageni ni kurudi nyuma maana hatuja andaa wachezaji wazawa kwa kiasi kikubwa wa kupambana na wachezaji wa Raja casablanca.
 
Wasalam wadau wa michezo.

Waziri wa Habari, Michezo Sanaa na Michezoi, amelitaka Baraza la Michezo Tanzania kuangalia namna ya kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni katika ligi kuu ya Tanzania.

Amesema haya wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2020/21

Kama mdau, nini maoni yako juu ya kauli hii?

Karibuni kwa mchango. Waziri Mwakyembe ataona hapa.


Sent using iphone pro max
Hii Hoja ya Mwakyemembe huwa haina mashiko kabisa na inapaswa kutolewa na amateur tu.

Badala ya kufanya restrictions kadhaa yeye anaweka sharti la kupunguza wachezaji itasaidia nini ?

Hoja ya Mwakyembe ingekuwa ya msingi kama angesema vilabu visajili wachezaji wa kigeni kuzingatia.
1 umri wao
2 wawe wanashiriki timu za taifa wanakotoka au timu za taifa za vijana.
3 wawe wanauwezo mkubwa kuliko wachezaji wetu maana yake wawe screened kwa vigezo vya special talents.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usichanganye mambo swala la idadi ya wachezaji kila nchi ina mpango wake. Tff wanachoweza kufanya ni kuiomba serikali, Wakilazimisha Waziri wa michezo anao uwezo wa kuishauri serikali ao wachezaji kutoka nje wakanyimwa vibali vya kazi au wakapewa kwa idadi ambayo serikali inataka.

Baadhi ya nchi zina sera ya idadi ya wachezaji kutoka nje. Mfano Misri. Fifa wenyewe kuna kipindi walitaka wachezaji wageni katika timummoja watakao cheza uwanjani wasizidi Watano ili kuinua vipaji vya wazawa. Sijui plan yao ili ishia wapi ila Mabeberu wa ulaya waliona ni uwendawazimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho anachokitaka Mwakyembe kinafaa kufanywa katika amateur league na siyo professional league.

Mtu anawekeza pesa zake halafu unamlazimisha atumie watu ambao hawatamfikisha popote ?

Haiwezekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwakyembe amepotoka, ligi kuu ina wachezaji wengi wazawa, timu zenye wageni ni simba, yanga na azam
 
Back
Top Bottom