wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Wasalam wadau wa michezo.
Waziri wa Habari, Michezo Sanaa na Michezoi, amelitaka Baraza la Michezo Tanzania kuangalia namna ya kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni katika ligi kuu ya Tanzania.
Amesema haya wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2020/21
Kama mdau, nini maoni yako juu ya kauli hii?
Karibuni kwa mchango. Waziri Mwakyembe ataona hapa.
Sent using iphone pro max
Waziri wa Habari, Michezo Sanaa na Michezoi, amelitaka Baraza la Michezo Tanzania kuangalia namna ya kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni katika ligi kuu ya Tanzania.
Amesema haya wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2020/21
Kama mdau, nini maoni yako juu ya kauli hii?
Karibuni kwa mchango. Waziri Mwakyembe ataona hapa.
Sent using iphone pro max