Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
"Nawashangaa sana wapinzani wanalalamika wanataka Tume huru ya uchaguzi kana kwamba hakuna tume, kungekuwa hakuna tume huru kule bungeni kusingekuwa na wawakilishi wao au kwenye madiwani. Wao Tume inakuwa nzuri wakishinda, wakishindwa inakuwa mbaya"- MNEC Mwakitinya.
Nashindwa kuwaelewa hawa viongozi wengine wanaoshindwa kutafsiri maana ya tume huru sijui huo uongozi waliupataje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashindwa kuwaelewa hawa viongozi wengine wanaoshindwa kutafsiri maana ya tume huru sijui huo uongozi waliupataje.
Sent using Jamii Forums mobile app