Mwakitinya: Wapinzani kwao tume inakuwa nzuri wakishinda, wakishindwa inakuwa mbaya

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,601
94,726
"Nawashangaa sana wapinzani wanalalamika wanataka Tume huru ya uchaguzi kana kwamba hakuna tume, kungekuwa hakuna tume huru kule bungeni kusingekuwa na wawakilishi wao au kwenye madiwani. Wao Tume inakuwa nzuri wakishinda, wakishindwa inakuwa mbaya"- MNEC Mwakitinya.

Nashindwa kuwaelewa hawa viongozi wengine wanaoshindwa kutafsiri maana ya tume huru sijui huo uongozi waliupataje.

FB_IMG_1578925760457.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom