KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,589
- 4,600
Is "seifism" acceptable ?Are you ignorant of "Jechaism?"
Is "seifism" acceptable ?Are you ignorant of "Jechaism?"
YES, IF THE COMMISSION IS NOT CREDIBLE! THAT'S WHY THEY WANT AN INDEPENDENT COMMISSION SO AS TO AVOID THE REPEAT OF JECHAISM/SEIFISM!. That will be for the good of all well wishers and peace loving lot.Is "seifism" acceptable ?
Basi ccm ni janga la taifa na tukiendelea na hiki chama tusitatajie kusonga mbeleMkuu wala hajawadhalilisha, huko ccm hiyo ni sifa kubwa.
Ach
Acha kuropoka. Hao wapinzani walitangazwa baada ya "nguvu" ya umma kutamalaki. Na jiwe kawaonya Tume " nikulipe mshahara halafu utangaze mpinzani" mshindi!
Ushahidi wa kwamba time yetu ni huru unaanza kwenye mchakato wa kutangaza wagombea wa vyama mpaka utangazaji matokeo kwa mshindi kulingana na idadi ya kura.
Tunaweza kusema kwamba tume si huru kwa sababu wajumbe wa tume ni wateule wa Rais, je hao wajumbe wanasaidia vipi upangaji wa washindi katika zoezi lenye mchakato mrefu na mpana wa upigaji unaosimamiwa na kuratibiwa na vyama vya siasa kwa ukaribu na umakini wa hali ya juu?
Watu wanaenda kupiga kura kukiwa na mawakala wa vyama, kura zinhesabiwa kukiwa na mawakala, fomu za idadi ya kura zinasainiwa na mawakala baada ya kujiridhisha mchakato mzima ulivyokuwa na mshindi anàtangazwa , bado mnadai mnaibiwa kura? Basi waulizeni mawakala wenu, kura zenu wamepeleka wapi na kwa nini wasaini ?
Tusidanganyane humu , kwa kila mwenye akili timamu na kwa ambaye hajui mchakato wa upigaji kura mpaka utangazaji matokeo atakubaliana nanyi lakini wenye hekima na busara wanakaa kimya wakisikia mnadai kitu kilichopo
"Nawashangaa sana wapinzani wanalalamika wanataka Tume huru ya uchaguzi kana kwamba hakuna tume, kungekuwa hakuna tume huru kule bungeni kusingekuwa na wawakilishi wao au kwenye madiwani. Wao Tume inakuwa nzuri wakishinda, wakishindwa inakuwa mbaya"- MNEC Mwakitinya.
Nashindwa kuwaelewa hawa viongozi wengine wanaoshindwa kutafsiri maana ya tume huru sijui huo uongozi waliupataje.
View attachment 1322054
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi ngumu hii mada imegeuka Sibii
Unajua mazingira waliyoshindia wapinzani?Mpaka wavutane mashati ngumi mkononi ndio mpinzani atangazwe,shame!
CCM ni kichaka cha watekaji na wauaji!Chadema.ni kichaka cha wakora,hawaeleweki wanataka nini katika jamuhuri hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema.ni kichaka cha wakora,hawaeleweki wanataka nini katika jamuhuri hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hukuepo vituoni 2015..... Mdee kapambana mpaka kura zimerudiwa kuhesabiwa..... Wenje mpaka ngumi zilirushwa kituoni kura zikarudiwa..... Mnyika mpaka wananchi walitishia kuchoma kituo ndio akatangazwa.... Kule mbagala ni mabomu na vituo vikachomwa hadi uchaguzi ukafutwa.
Mkuu hukuepo vituoni 2015..... Mdee kapambana mpaka kura zimerudiwa kuhesabiwa..... Wenje mpaka ngumi zilirushwa kituoni kura zikarudiwa..... Mnyika mpaka wananchi walitishia kuchoma kituo ndio akatangazwa.... Kule mbagala ni mabomu na vituo vikachomwa hadi uchaguzi ukafutwa.
Hakuna jimbo upinzani ameshinda kiuwepesi bila nguvu ya umma.... Ni Ujiji tu ndio Zitto alitangazwa mapema sana bila figisu!!