Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,463
- 113,530
Mwili wa aliyekuwa Mhariri Mkuu wa Gazeti la Rai na Mhariri Mtendaji Msaidizi wa New Habari Corporation Limited, Danny Mwakiteleko, aliyefariki dunia juzi alfajiri katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (Moi), Dar es Salaam, umeagwa rasmi leo nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam na Maelfu ya waombolezaji, ikiwemo idadi kubwa ya waandishi wa habari kwa kiwango ambacho haijapata kutokea.
Takwimu za kiwango kikubwa ambacho hakijawahi kutokea kati ya misiba ya wanahabari niliobahatika kuihudhuria, hivyo idadi hiyo ni kwa mujibu wangu niliyovyowashuhudia mimi binafsi, na sio kwa utafiti, takwimu wala hojaji, bali ni massive press turn out. Turn out hiyo ni uthibitisho kuwa Danny alikuwa mtu wa watu.
Turn out hiyo imehusisha kwanza wahariri toka vyombo vyote vya habari jijini waliovalia sare rasmi, kundi kubwa la waandishi na watangazaji toka vyombo vyote vya habari jijini, idadi kubwa ya maofisa habari toka wizara, idara, na mashirika mbalimbali pamoja na idadi kubwa ya waandishi wakongwe toka enzi za Radio Tanzania na Magazeti yakiwa ni Daily Nuwes na Uhuru Pekee.
Idadi hiyo kubwa ya waandishi, pia imejumuisha baadhi ya wamiliki wa vyombo vya habari, na wakurugenzi wa mawasiliano mbalimbali, wakiongozwa na mkurugenzi wa mawasiliano muhimu kuliko wengine wote.
Mwakiteleko anatarajiwa kuzikwa kesho, kijijini kwao Rugombo, Mwakaleli mkoani Mbeya
Mwakiteleko ameacha mjane, Winifrida na watoto Caro (13) na Vanessa (11).
Mungu Aipumzishe roho ya Danny Mwakiteleko, Mahala Pema Peponi, Apumzike kwa Amani
Amen.
Pasco.
Picha kwa Hisani ya Globu ya Jamii.
Wadau mbalimbali msibani
Wahariri wakiwa tayari kutoa mwili wa marehemu
Safari inaanza
Askari akiaga kijeshi
Mkuu wa Kurugenzi ya Habari Ikulu Bw. Salva Rweyemamu akiwa na wanahabari wenzie katika msiba wa Danny Mwakiteleko huko Tabata Chang'ombe jijini Dar ambpoe baada ya heshima za mwisho mwili wake umesafirishwa leo kuelekea Mwakaleli, Tukuyu, kwa Mazishi
Wanahabari wakibadilishana mawazo
Wabahabari wakiwa msibani.
Umati wa wanahabari, wanasiasa, ndugu jamaa na marafiki msibani
Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri Absolom Kibanda akiongea na Badra Masoud wa TANESCO na Usiah Mkoma wa UN
Wahariri waandamizi msibani
Majonzi
Saluti kwa Danny Mwakiteleko toka kwa wafanyakazi na mkewe hospitali ya jeshi Lugalo
Wahariri wakiwa wamejipanga tayari kubeba mwili wa marehemu kuupeleka garini
Marafiki wa karibu na marehemu, Angetilleh Osiah, Msoud Sanani nna Juma Pinto
Wahariri wakisubiri muda
Wadau toka kila nyanja walikuwepo msibani
Mpiganaji Athumani Hamisi na wadau wengine wapo
Wazee wa familia na viongozi wa dini wakiwa msibani
Wadau msibani
Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. John Mongella akiongea na Mkurugenzi mtewndaji wa New Habari Corporation Bw. Bashe (kati) na Bw. John Nchimbi msibani
Majonzi na vilio vyatawala
Eric shigongo na wadau wengine msibani
Beka Tall (shoto) na Beka Hendsam (kati) wakiwa na Kaka John Bwire
Msafara unaanza
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absolom kibanda akitoa heshima zake za mwisho
Takwimu za kiwango kikubwa ambacho hakijawahi kutokea kati ya misiba ya wanahabari niliobahatika kuihudhuria, hivyo idadi hiyo ni kwa mujibu wangu niliyovyowashuhudia mimi binafsi, na sio kwa utafiti, takwimu wala hojaji, bali ni massive press turn out. Turn out hiyo ni uthibitisho kuwa Danny alikuwa mtu wa watu.
Turn out hiyo imehusisha kwanza wahariri toka vyombo vyote vya habari jijini waliovalia sare rasmi, kundi kubwa la waandishi na watangazaji toka vyombo vyote vya habari jijini, idadi kubwa ya maofisa habari toka wizara, idara, na mashirika mbalimbali pamoja na idadi kubwa ya waandishi wakongwe toka enzi za Radio Tanzania na Magazeti yakiwa ni Daily Nuwes na Uhuru Pekee.
Idadi hiyo kubwa ya waandishi, pia imejumuisha baadhi ya wamiliki wa vyombo vya habari, na wakurugenzi wa mawasiliano mbalimbali, wakiongozwa na mkurugenzi wa mawasiliano muhimu kuliko wengine wote.
Mwakiteleko anatarajiwa kuzikwa kesho, kijijini kwao Rugombo, Mwakaleli mkoani Mbeya
Mwakiteleko ameacha mjane, Winifrida na watoto Caro (13) na Vanessa (11).
Mungu Aipumzishe roho ya Danny Mwakiteleko, Mahala Pema Peponi, Apumzike kwa Amani
Amen.
Pasco.
Picha kwa Hisani ya Globu ya Jamii.
Wadau mbalimbali msibani
Wahariri wakiwa tayari kutoa mwili wa marehemu
Safari inaanza
Askari akiaga kijeshi
Mkuu wa Kurugenzi ya Habari Ikulu Bw. Salva Rweyemamu akiwa na wanahabari wenzie katika msiba wa Danny Mwakiteleko huko Tabata Chang'ombe jijini Dar ambpoe baada ya heshima za mwisho mwili wake umesafirishwa leo kuelekea Mwakaleli, Tukuyu, kwa Mazishi
Wanahabari wakibadilishana mawazo
Wabahabari wakiwa msibani.
Umati wa wanahabari, wanasiasa, ndugu jamaa na marafiki msibani
Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri Absolom Kibanda akiongea na Badra Masoud wa TANESCO na Usiah Mkoma wa UN
Wahariri waandamizi msibani
Majonzi
Saluti kwa Danny Mwakiteleko toka kwa wafanyakazi na mkewe hospitali ya jeshi Lugalo
Wahariri wakiwa wamejipanga tayari kubeba mwili wa marehemu kuupeleka garini
Marafiki wa karibu na marehemu, Angetilleh Osiah, Msoud Sanani nna Juma Pinto
Wahariri wakisubiri muda
Wadau toka kila nyanja walikuwepo msibani
Mpiganaji Athumani Hamisi na wadau wengine wapo
Wazee wa familia na viongozi wa dini wakiwa msibani
Wadau msibani
Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. John Mongella akiongea na Mkurugenzi mtewndaji wa New Habari Corporation Bw. Bashe (kati) na Bw. John Nchimbi msibani
Majonzi na vilio vyatawala
Eric shigongo na wadau wengine msibani
Beka Tall (shoto) na Beka Hendsam (kati) wakiwa na Kaka John Bwire
Msafara unaanza