abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habar wadau,
Miaka yote ukwel husimama sehemu sahihi toka mwanzo Niliwaambia kuwa Mwakinyo ni Mtu muhimu Sana kwenye Tanzania yetu kwani kipaji na uwezo wake ni mkubwa Sana Zaid ya maneno yake.
Mwakinyo Ndie Bondia pekee Tanzania anaetoa raha kila baada ya pambano. Mwakinyo ndie Bondia pekee mwenye muonekano wa kistaa na maisha ya kingumu.
Wale Bondia wetu wengine walioletwa ili kumpoteza Mwakinyo wamezunguka na Kiki plas majigambo mwisho wa siku wanakuja kutuambia Tusiende Urusi Kwan tutapigwa. Mwanajesh gani anachagua vita?
Miaka yote ukwel husimama sehemu sahihi toka mwanzo Niliwaambia kuwa Mwakinyo ni Mtu muhimu Sana kwenye Tanzania yetu kwani kipaji na uwezo wake ni mkubwa Sana Zaid ya maneno yake.
Mwakinyo Ndie Bondia pekee Tanzania anaetoa raha kila baada ya pambano. Mwakinyo ndie Bondia pekee mwenye muonekano wa kistaa na maisha ya kingumu.
Wale Bondia wetu wengine walioletwa ili kumpoteza Mwakinyo wamezunguka na Kiki plas majigambo mwisho wa siku wanakuja kutuambia Tusiende Urusi Kwan tutapigwa. Mwanajesh gani anachagua vita?