Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,702
Wadau wa JF
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Balozi Gaston Kennedy kwa niaba ya Rais wa Tanzania & Amiri Jeshi Mkuu amemvisha cheo Luteni Kanali Donald Msengi kuwa Kanali
Kanali Msengi amekuwa akihudumu kama Afisa Mnadhimu katika Idara ya Ulinzi wa Amani Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.
Kazi iendelee
*Habari Leo
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Balozi Gaston Kennedy kwa niaba ya Rais wa Tanzania & Amiri Jeshi Mkuu amemvisha cheo Luteni Kanali Donald Msengi kuwa Kanali
Kanali Msengi amekuwa akihudumu kama Afisa Mnadhimu katika Idara ya Ulinzi wa Amani Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.
Kazi iendelee
*Habari Leo