Mwakilishi SSRA apewa vidonge ndani Geita Goldmine Ltd

Nsa ipo siku wabunge wanaoitikia kila jambo hata kama ni baya, watakula kibano toka kwa wananchi. Saa imefika vijana kuitengeneza TZ.
 
Asitoke humu ndani mpaka kieleweke. Hawana adabu hata kidogo. Hawajatushirikisha huu upuuzi wao. Kama mambo yenyewe ni ya nguvu nguvu basi nchi haitatawalika hapa. Tunataka pesa zetu tunataka pesa zetu. Nani aliwaambia pesa zetu wakajengee chuo Dodoma!
 
1. Wabunge wote ni wasaliti kwenye hili. Iweje wao sheria isiwahusu, hiyo ni rushwa ya kupitisha sheria.
2. Wafanyakazi wote lazima tuungane kwenye hili, kama mgaya anaogopa mabwepande sisi tuko tayari kwenda huko. Hapa hakuna siasa, hapa kuna uhai.
 
Huyo mwakilishi wa SSRA naye hamnazo kwani hao wananchi wana submit michango kwa SSRA? si wanapeleka michango kwa mashirika ya pensheni? wawaachie wenyewe wakina NSSF,PPF,PSPF nk wakatoe elimu kwa wadau wao wasione raha kufaidi mahela tu.
 
Huyo mwakilishi wa SSRA naye hamnazo kwani hao wananchi wana submit michango kwa SSRA? si wanapeleka michango kwa mashirika ya pensheni? wawaachie wenyewe wakina NSSF,PPF,PSPF nk wakatoe elimu kwa wadau wao wasione raha kufaidi mahela tu.

Kaka sio kwamba hamnazo...anatetea ulaji wake... bila hii michango yetu kuwapo wao SSRA hawana kazi...na wamepewa hiyo kazi ili kuweza kumonitor hiyo mifuko lazima wawe mbele .. ndio ulaji wao huo na waliowaweka... Hivi wewe hujiulizi hizo regulatory authority seriously zina kazi gani haswa zaidi ya kutafuna kodi setu tu.... wanaudhi sana..
 
Huyo mwakilishi wa SSRA
naye hamnazo kwani hao wananchi wana submit michango kwa SSRA? si
wanapeleka michango kwa mashirika ya pensheni? wawaachie wenyewe wakina
NSSF,PPF,PSPF nk wakatoe elimu kwa wadau wao wasione raha kufaidi mahela
tu.

kumbuka sheria hii kandamizi imetungwa na haohao SSRA na sio hiyo mifuko hapa wa kubanwa ni hawahawa
 
wakuu hiki kikao kimeisha tumempa misimamo yetu kuwa hii sheria hatuikubali na tumemtaka mkurugenzi wa SSRA kutoa tamko la kusitisha ujinga huu kuanzia jumatatu

Ayaaah!! Mmemuwachia bila kumlimboka!! Msg not sent kabisa.
 
Hivi hakuna uwezekano wa kumpata mbunge mmojawapo tukampe kichapo cha nguvu. Nadhani hapo wataacha kusinzia na kupitisha sheria kama hizi??
 
Mtamuonea bure, wanaostahili KUPIGWA mawe ni BARAZA LA MAWAZIRI lililopoleka muswaada huo na WABUNGE waliopitisha muswaada. That are real our enemies.

na Bunge nalo vilaza ni wengi, ilikuwaje mswada wa namna hii ukapitishwa????
 
Nilimsikia akihojiwa sijui ndo mkurugenzi wa SSRA anaitwa Irene ... alikuwa jana clouds... kwa kweli nilichefuka sana... wanaonekana wamepewa jukumu la kuhakikisha huu uchafu unafanikiwa!!! Eti anasema kama asilimia 90 ya mshahara umeshindwa kuifanyia maendeleo hiyo 10 pia hutaweza kuifanyia chochote. Kwa kweli nilitamani nitoboe radio nikamkwide!!! kwanza sio 90% maana hapo kuna payee... mshahara unapokea kila mwezi na sio makusanyo kama ilivyo kwa hizo akiba zetu wanazotaka kutuibia...!!
 
Watanzania lazima kuamka ama sivyo CCM inatupeleka ahera

jamani kila kitu si kusingizia ccm cha msingi wafanyakazi wote tuunganishe nguvu bila kujali itikadi za vyama, maslahi yetu hayategemei itikadi bali umoja wetu
 
Nsa ipo siku wabunge wanaoitikia kila jambo hata kama ni baya, watakula kibano toka kwa wananchi. Saa imefika vijana kuitengeneza TZ.


Mkuu huu ndo wakati napendekeza tuige mbinu za wale vichaa wa alkaeda.

Tuzitumie fulsa vizuri.

1. Kilammoja wetu ukipata fulsa ya kuangamiza kiongozi yeyote wa serikali aitumie vizuri.

2. Fulsa ya kuangamiza wabunge wapigao makofi nakupitisha hoja za kipuuzi kama hii ya mafao yetu.

Tuanze mapema kuwateketeza hawa kabla hawajatufilisi mali na amana za vizazi vijavyo.

KWA KILA ANAEGUSWA UKIPATA FULSA ITUMIE KWA NJIA YOYOTE NA POPOTE.

Tukiwaforge kama kumi tu watashika adabu na tutapata haki yetu.

Makaman na maandamano viendane na kuwapa vibano kimyakimya mitaan mmojammoja.
 
Hakika inasikitisha.Tukatwe kodi kubwa ambayo inaishia Mifukoni mwa Wateule wa CCM halafu hata hicho kidogo tulichojiwekea nacho wachukue halafu tubakikuwaangalia tu MPAKA kipindi cha miaka 55 au 60 ili hali nchi hii ikiwa yetu sote?.Hapana hii haikubaliki na ni wakati muafaka Wafanyakazi tueleweke msimamo wetu ni upi kwa hili.
 
jamani kila kitu si kusingizia ccm cha msingi wafanyakazi wote tuunganishe nguvu bila kujali itikadi za vyama, maslahi yetu hayategemei itikadi bali umoja wetu

Wewe kama ni gamba shauri zako tutakupasha na wewe huko huko, unatetea chama cha mabwepande ili iweje. Walioahidi maisha bora kwa kila mtanzania ni akina nani tena eti kwa kasi zaidi, Hari zaidi na nguvu zaidi. Hii ndo kasi yenyewe, hata uitete vipi CCM imo ndani kwa 100% na hili haliiiachi ng'o hata kwa dawa. Wao kazi ni kugonga meza tu.....!!
 
Huruma ya msaada ipo kwa wenyekazi za mishahara tu?

Mbona wasionakazi, walalahoi na wasiojiweza serikali haiwawekei akiba? Wala bima? Japo 10,000 kwa kichwa kwa mwezi? Au kundi hili hawazeeki? Na hawahitaji huduma uzeen?

Je hii ni huruma kweli au tamaa ya fedha zetu, hakika huu ni ufisadi uliokomaa na kuvuka mipaka.

Hawa watu hawatufai wakirudi majimboni tutumie fulsa kutoa adab kwa mmoja mmoja.

Fulsa jaman, fulsa tuzitumie atakaebahatika kupona akawasimulie wenzie au ajiuzuru kunusuru uhai wake.

Wao wanatemper na maisha yetu kwanin nasisi tusitempe na yao?
 
Back
Top Bottom