ruhi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 3,732
- 5,397
Mkutano imemalizika na watu wanchukua chakula kwa sasa,kwa kweli mi ningekua na bunduki au kisu ningemcho live,ameniudhi kweli hana ata dokument ya kuthibitisha shutuma anazorushiwa,kwa kweli walimtuma dhaifu kuja kuwawasilisha....inauma inauma na inakera sana