Mwakiembe - kuhamisha barabara kwa ajili ya upanuzi wa airport ni kizamani

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
UPANUZI WA UWANJA WA NDEGE ARUSHATaarifa nyingine zimeeleza zaidi kuwa serikali imekusudia kuihamisha barabara inayotoka mjini Arusha kwenda Babati, ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa Arusha.
Vyanzo vya uhakika vimeeleza kuwa uhamishaji wa barabara hiyo utalighalimu taifa fedha ambazo idadi yake haijajulikana, lakini kukamilika kwake kutakuwa na manufaa kwa nchi.
NIPASHE Jumapili ilipowasiliana na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA), Mhandisi Suleiman Said Suleiman, alipokea simu na baada ya kujulishwa hoja aliyotakiwa kuitolea ufafanuzi, alisema alikuwa kwenye mkutano.“Nipo kwenye mkutano naomba unipigie baada ya half an hour (nusu saa),” alisema, ingawa alipotafutwa mara kadhaa baada ya muda huo kupita, simu yake iliita bila kupokewa.


Binafsi sioni sababu ya kuihamisha barabara ya Arusha Babati kwa ajili ya upanuzi wa uwanja huo iwapo inachopanuliwa ni njia za kukimbilia ambazo haziwezi kuzuia njia za magari kwa kujenga barabara ya chini kwa magari na fly over kwa ajili ya ndege kama mataifa mengi yafanyavyo.

gibraltar-airport-runway-09.jpg
gibraltar-airport-runway-02.jpg
1026_ActiveTaxiway.jpg
images
gibraltar-airport-runway-08.jpg
images
 
Ushauri wako ni mzuri,ila kwa Bongo itaongeza idadi ya sehemu za kupiga picha:
1.DARAJA LA MANZESE
2.ROUND ABOUT YA IMPALA HOTEL ARUSHA
3.TILAPIA ROUND ABOUT MWANZA
4.KAHAWA HOUSE ROUND ABOUT MOSHI.
etc.
 


Binafsi sioni sababu ya kuihamisha barabara ya Arusha Babati kwa ajili ya upanuzi wa uwanja huo iwapo inachopanuliwa ni njia za kukimbilia ambazo haziwezi kuzuia njia za magari kwa kujenga barabara ya chini kwa magari na fly over kwa ajili ya ndege kama mataifa mengi yafanyavyo.

gibraltar-airport-runway-09.jpg
gibraltar-airport-runway-02.jpg
1026_ActiveTaxiway.jpg
images
gibraltar-airport-runway-08.jpg
images

Candid Scope, kama tungekuwa na long term plans na moyo wa uthubutu, then hayo ndio mambo ya kufanya. Lakini inaonekana kama mambo yameshaamuliwa vile kubadilisha matumizi ya barabara kwa ajiri ya upanuzi wa uwanja wa ndege!
 
Ushauri mzuri ndugu uko juu,ila hii ya kusubiri ndege ipite arafu magari mmmh kwa bongo na uzembe wetu ajali itakuwa kila cku,ila iyo ya magari kupita chini then ndege zitue hapo juu iyo itakuwa nzuri
 
hii hadithi ya barabara ya Babati na upanuzi wa uwanja wa ndege - Arusha ni ya pili, ingine ni kuhamisha reli ya mpanda ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mpanda.
 
Candid Scope, kama tungekuwa na long term plans na moyo wa uthubutu, then hayo ndio mambo ya kufanya. Lakini inaonekana kama mambo yameshaamuliwa vile kubadilisha matumizi ya barabara kwa ajiri ya upanuzi wa uwanja wa ndege!

Gharaza za fidia kwa ajili ya kuhamisha barabara hiyo ni kubwa zaidi kuliko kujenga daraja la kupishanisha njia ya magari na njia ya kuruka na kutua ndege.
 
Gharaza za fidia kwa ajili ya kuhamisha barabara hiyo ni kubwa zaidi kuliko kujenga daraja la kupishanisha njia ya magari na njia ya kuruka na kutua ndege.
Viongozi wetu kila siku kiguu na njia sijui hawaoni au ndiyo dili za kupiga mahela
 
GUANGZHOU china ni mji mpya kabisa kwa nini wasijenge kiwanja kipya cha kisasa sehemu yenye nafasi arusha?
 
Back
Top Bottom