Root root AE
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 207
- 345
- Thread starter
- #21
Nikitaka kuishi mjini...Dar es salaam kupoLuteba na Matamba ndo mashambani sio?? kama ndiyo huko ndo mimi nakutaka kabisaa
Nikitaka kuishi mjini...Dar es salaam kupoLuteba na Matamba ndo mashambani sio?? kama ndiyo huko ndo mimi nakutaka kabisaa
Sidhani kama yuko sawa
Unafikiri kwanini mahakamani wanahitaji ushahidi...kwasababu kikubwa sio uelewa bali ni uthibitisho na ndo nnachokitafuta mkuu sio vinginevyo
Ningetaka kufanya hivo ningeshaenda kitambo tu, lakini michango ya wadau huwa ni muhimu sana...kwahiyo nahisi udhibitisho mwingine tutaupata kwa wachangiaji wengine wanaofatiaUthibitisho mzuri, nenda mwenyewe! Hapa tunakupa mwongozo tu. Ukitokea Mbeya 8-8 utashukia Katumba (njia panda ya kwenda Mwakaleli). Ni barabara ya vumbi lakini inapitika muda wote. Ni km 30 hadi Kandete mjini. Nauli ni elfu 4 kwa Noah na utakuta za kumwaga hapohapo Katumba
pole sana mkuu....sehemu ambazo hazijajaa makazi ya watu ni wapi? me ndo nakutaka huko...
Luteba na Matamba ndo mashambani sio?? kama ndiyo huko ndo mimi nakutaka kabisaa
Ningetaka kufanya hivo ningeshaenda kitambo tu, lakini michango ya wadau huwa ni muhimu sana...kwahiyo nahisi udhibitisho mwingine tutaupata kwa wachangiaji wengine wanaofatia
Nikitaka kuishi mjini...Dar es salaam kupo
Vipi kuhusu ikuti wakuu siwezi pata shamba ekari 5 nilime parachichiTununu,mimi nipo Dodoma,Mwakaleli nimekaa sana kwa babu na bibi Lusanje karibu na secondary ya kyejo,Ni kweli Kandete ni mji labda aende mbali,Luteba,Matamba nk.
Nenda Mbafwa au Kanyelele!🤣🤣🤣🤣 pole sana mkuu....sehemu ambazo hazijajaa makazi ya watu ni wapi? me ndo nakutaka huko...
Kama alivyosema Mwakatobe ni ngumu kupata heka maeneo hayo,labda uungeunge watu tofauti.Vipi kuhusu ikuti wakuu siwezi pata shamba ekari 5 nilime parachichi
Mkuu eneo lako lipo lugombo, lipo karibu na mto mkuu?Hakuna mashamba makubwa kwa kuwa maeneo mengi ni mashamba ya chai na miti. Pia wakazi wengi hugawana mashamba madogo madogo (imbaka au utupaka) kiukoo au kifamilia. Ni kama ilivyo uchagani, huwezi kupata shamba kirahisi. Ekari moja haiwezi kupatikana kwa mtu mmoja labda uunganishe watu wawili au watatu. Na Kandete ni mjini, si mashambani!
Binafsi nina shamba kijiji cha jirani Lugombo linakaribia ekari moja, nauza milioni 3. Kuna maji ya bomba, umeme wa REA hapohapo shambani na barabara. Maeneo hayo hulimwa sana maparachichi na hustawi sana hata kaeneo kadogo. Pia viazi mviringo huzaa sana!
Karibu sana Mwakaleli, bonde la neema, hali ya hewa safi, watu wakarimu na wacha Mungu.
Mkuu eneo lako lipo lugombo, lipo karibu na mto mkuu?
Mkuu unaenda kijijini kwetu kabisa sema kandete ni town town kwa bush labda maeneo ya pembeni ila kule tuna tabia ya kupeana mashamba kifamilia sana ila be careful japo sie ni wakarimu sana ila wenye tamaa hawakosekaniHabari wakuu?
Kwa atakayekua amesoma uzi wangu wa unaouliza sehemu nzuri ya kuishi kati ya Tukuyu na Kyela atakua anajua.
Kikubwa ni kwamba sehemu niliyochagua kuishi ni Tukuyu eneo la Mwakaleli kijiji cha Kandete. Ninataka nikifika ninunue shamba dogo kwaajili ya chakula (ndizi, viazi Ulaya, mboga mboga nk) na sio kwa ajili ya kujenga. Hivo naomba msaada wa kujua bei za kununua mashamba au hata kama ni kwa kukodisha zipoje?
Sitaki shamba kubwa sana, hata nusu/robo hekali itanitosha kabisaa.
Okay huku chumba cha 10k kwa mwezi napata sio?Nenda Mbafwa au Kanyelele!
Mkuu hapa ndo nmeamini kwanini ulikosa ubunge wa Tukuyu🤣🤣🤣🤣Hata Dar es Salaam ina maeneo ya vijijini. Mabwepande, Kimbiji, Mpakani mwa Chanika na Kisarawe, nk
Mkuu hapa ndo nmeamini kwanini ulikosa ubunge wa Tukuyu
Bahati nzuri sihitaji kujua nnaowasiliana nao na ndo maana wengi humu Jamiiforum ni anonymous, shida yangu ni kupata jibu/mrejesho wa swali langu na asante kwa kuonyesha wazi kuwa wewe si mtu sahihi wa kufanya hivo. Hata hilo suala la ubunge wadau washanielekeze PM kitambo tu.Kwa kukusaidia tu, haujawahi kuwepo ubunge wa Tukuyu! Bahati mbaya hujui unawasiliana na nani na mwenye hadhi gani. Ila nimetambua upeo wako kwa sehemu kutokana na majibu yako. Nahitimisha kwa kukutakia kila la heri
Bahati nzuri sihitaji kujua nnaowasiliana nao na ndo maana wengi humu Jamiiforum ni anonymous, shida yangu ni kupata jibu/mrejesho wa swali langu na asante kwa kuonyesha wazi kuwa wewe si mtu sahihi wa kufanya hivo. Hata hilo suala la ubunge wadau washanielekeze PM kitambo tu.
Et hadhiiii hahahahaha man your so desperate......who do you think gives a fck about who you are...