TZCHINA
Senior Member
- Dec 6, 2019
- 126
- 152
Habari jamii forum,
Kama kichwa cha Habari kinavyo sema mimi ni mhitimu chuo cha SUA mwaka 2016 bsc environmental sciences and management sijapata kazi na msoto mtaani unaendelea kuwa mkubwa zaidi. Hivyo basi kwa mwenye CONNECTION naomba msaada kazi yoyote nafanya.
Kama kichwa cha Habari kinavyo sema mimi ni mhitimu chuo cha SUA mwaka 2016 bsc environmental sciences and management sijapata kazi na msoto mtaani unaendelea kuwa mkubwa zaidi. Hivyo basi kwa mwenye CONNECTION naomba msaada kazi yoyote nafanya.