Mwaka wa kuzidi siku moja

Ashura9

JF-Expert Member
Oct 21, 2012
739
484
Leo ni siku ya 29 mwezi Februari inayootokea kila baada ya miaka 4.

Miaka mirefu

Muda kamili wa mzunguko mmoja wa dunia kwenye mzingo wake ni siku 365.2425 kwa hiyo unazidi muda wa mizunguko 365 wa dunia kwenye kipenyo chake. Hivyo Kalenda ya Gregori inatumia utaratibu ufuatao wa kupatanisha tofauti hiyo:

  • kila mwaka wa nne utakuwa na siku 366 badala ya 365 kwa kuongeza tarehe 29 Februari. Mifano: 1892, 1996; 2004, 2008, 2012
 
Hakuna cha mwaka mfupi, wala mwaka mrefu katika mzunguko wa dunia, hizo ni mbwembwe za kishetani tu zilizotabiriwa hivi na Nabii Danieli, naye ataazimu kubadili majira na sheria...(danieli 7:25).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom