Mwaka mzima kavukavu!

Zipuwawa

JF-Expert Member
Nov 28, 2010
3,053
653
Ni muda wa mwaka mmoja sasa sijaweza kukutana na mwanamke hii inatokana na hali halisi na sehemu nilipo mila na Desturi zao ni kali. Siku za kwanza nilidhani nitapata hata demu mmoja wa kuweza kuchakachua! Lakini mwaka sasa unapita bila bila.

Naomba msaada kama kuna mtaalamu ninaweza kuwa mzima kama mwanzo hofu yangu kitu chochote usipokitumia basi uwezo wake wa kufanya kazi unapungua.Sasa kama kuna mtaalamu naomba anishauri nitakuwa bomba au ndio imekula kwangu?
 
Naomba msaada kama kuna mtaalamu ninaweza kuwa mzima kama mwanzo hofu yangu kitu chochote usipokitumia basi uwezo wake wa kufanya kazi unapungua.Sasa kama kuna mtaalamu naomba anishauri nitakuwa bomba au ndio imekula kwangu?
sema uko wapi tu- for export only

Acha kumpa mwenzio matumaini wakati ambapo wamsanifu tu....mwenzio atachukulia kwa umakini wake halafu itakuwa ni shida............
 
Ni muda wa mwaka mmoja sasa sijaweza kukutana na mwanamke hii inatokana na hali halisi na sehemu nilipo mila na Desturi zao ni kali. Siku za kwanza nilidhani nitapata hata demu mmoja wa kuweza kuchakachua! Lakini mwaka sasa unapita bila bila.

Naomba msaada kama kuna mtaalamu ninaweza kuwa mzima kama mwanzo hofu yangu kitu chochote usipokitumia basi uwezo wake wa kufanya kazi unapungua.Sasa kama kuna mtaalamu naomba anishauri nitakuwa bomba au ndio imekula kwangu?

kwa kweli nimefurahi kusikia kuwa kuna sehemu mabinti wanadhibitiwa kiasi cha mtu kukosa hata wa kuchakachua kwa mwaka mzima.
natamani siku nikiwa mama niishi ktk ulimwengu kama huo na kabinti kangu.
kuhusu swali lako nadhani hakuna madhara,tafuta kuna thread ya Rev. masa kuna mtu alimuombea ushauri kama wako,yeye alikaa sijui miaka saba bila kumjua mwanamke ila wengi walidi hakuna madhara ya kiafya.
 
Ni muda wa mwaka mmoja sasa sijaweza kukutana na mwanamke hii inatokana na hali halisi na sehemu nilipo mila na Desturi zao ni kali. Siku za kwanza nilidhani nitapata hata demu mmoja wa kuweza kuchakachua! Lakini mwaka sasa unapita bila bila.

Naomba msaada kama kuna mtaalamu ninaweza kuwa mzima kama mwanzo hofu yangu kitu chochote usipokitumia basi uwezo wake wa kufanya kazi unapungua.Sasa kama kuna mtaalamu naomba anishauri nitakuwa bomba au ndio imekula kwangu?

uko saudia nini kaka! madhara yapo kaka unaweza ukawa chizi!
 
Acha kumpa mwenzio matumaini wakati ambapo wamsanifu tu....mwenzio atachukulia kwa umakini wake halafu itakuwa ni shida............

wewe unajuaje kama nipo mahali alipo?...huwezi jua....wakati mwingine unaweza ona utani lakini watu tupo serious
 
Kweli hata mimi nakuombea siku ukiwa na kabinti kako uje uishi huku maana hutakuwa na shaka kabisa. Kweli maisha ya Bongo kuchakachua ni rahisi sana sijui kwanini lakini kama hakuna madhara nashukuru na ninauhakika kuwa Mungu nae atanisaidia!
kwa kweli nimefurahi kusikia kuwa kuna sehemu mabinti wanadhibitiwa kiasi cha mtu kukosa hata wa kuchakachua kwa mwaka mzima.
natamani siku nikiwa mama niishi ktk ulimwengu kama huo na kabinti kangu.
kuhusu swali lako nadhani hakuna madhara,tafuta kuna thread ya Rev. masa kuna mtu alimuombea ushauri kama wako,yeye alikaa sijui miaka saba bila kumjua mwanamke ila wengi walidi hakuna madhara ya kiafya.
 
Lakini kumbe na mimi naweza kukuta nasaidiwa sema naleta utani hapa
wewe unajuaje kama nipo mahali alipo?...huwezi jua....wakati mwingine unaweza ona utani lakini watu tupo serious
 
kama ni mwiko kuchakachua mabinti, tafuta alternatives zingine.....read between the lines. Plus who told you you must use it?
 
Kweli hata mimi nakuombea siku ukiwa na kabinti kako uje uishi huku maana hutakuwa na shaka kabisa. Kweli maisha ya Bongo kuchakachua ni rahisi sana sijui kwanini lakini kama hakuna madhara nashukuru na ninauhakika kuwa Mungu nae atanisaidia!

ila kusema ukweli niko curious kakangu kujua ni sehemu gani uliko ambayo ni uchakachuzifree,maana muda si mrefu nilikwenda maeneo fulani ambako ni kijiji mno hadi mnapishana na chui,hakuna hata phonenetwork lkn vibinti vya huko vinachakachuliwa na wafanyabiashara kutoka mjini hadi machozi yanaweza kukutoka.
kama hupendi kutaja in public niambie hata Pm jina la hiyo sehemu/nchi naona ni maajabu sana,labda nikipajua naweza kujifunza kitu kutoka kwa wamama wa huko.
 
Poa hata mimi mwanzo nilizani kama mazaha kwani nilikuja na vijitabia vya kuchakachua vitoto vya watu lakini mwaka unatimia sasa nimeishia kuwaona tu kwa mbali au sijui kwakuwa wao ni weupe na mimi ni hii ngozi yetu ya laana? lakini hata wao sioni kama ilivyo kwetu Bongo kufukuzia Watoto wa watu kwenye vichochoro usiku na mchana hata Bila aibu! Nimejifunza mengi kwakweli!
ila kusema ukweli niko curious kakangu kujua ni sehemu gani uliko ambayo ni uchakachuzifree,maana muda si mrefu nilikwenda maeneo fulani ambako ni kijiji mno hadi mnapishana na chui,hakuna hata phonenetwork lkn vibinti vya huko vinachakachuliwa na wafanyabiashara kutoka mjini hadi machozi yanaweza kukutoka.
kama hupendi kutaja in public niambie hata Pm jina la hiyo sehemu/nchi naona ni maajabu sana,labda nikipajua naweza kujifunza kitu kutoka kwa wamama wa huko.
 
Poa hata mimi mwanzo nilizani kama mazaha kwani nilikuja na vijitabia vya kuchakachua vitoto vya watu lakini mwaka unatimia sasa nimeishia kuwaona tu kwa mbali au sijui kwakuwa wao ni weupe na mimi ni hii ngozi yetu ya laana? lakini hata wao sioni kama ilivyo kwetu Bongo kufukuzia Watoto wa watu kwenye vichochoro usiku na mchana hata Bila aibu! Nimejifunza mengi kwakweli!

that sounds like a dreamland.
 
Poa hata mimi mwanzo nilizani kama mazaha kwani nilikuja na vijitabia vya kuchakachua vitoto vya watu lakini mwaka unatimia sasa nimeishia kuwaona tu kwa mbali au sijui kwakuwa wao ni weupe na mimi ni hii ngozi yetu ya laana? lakini hata wao sioni kama ilivyo kwetu Bongo kufukuzia Watoto wa watu kwenye vichochoro usiku na mchana hata Bila aibu! Nimejifunza mengi kwakweli!
Nahisi ni kati ya nci zifutazo. Egypt, saidi arabia, Algeria, Tunisia, iran etc.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom