Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,055
- 653
Ni muda wa mwaka mmoja sasa sijaweza kukutana na mwanamke hii inatokana na hali halisi na sehemu nilipo mila na Desturi zao ni kali. Siku za kwanza nilidhani nitapata hata demu mmoja wa kuweza kuchakachua! Lakini mwaka sasa unapita bila bila.
Naomba msaada kama kuna mtaalamu ninaweza kuwa mzima kama mwanzo hofu yangu kitu chochote usipokitumia basi uwezo wake wa kufanya kazi unapungua.Sasa kama kuna mtaalamu naomba anishauri nitakuwa bomba au ndio imekula kwangu?
Naomba msaada kama kuna mtaalamu ninaweza kuwa mzima kama mwanzo hofu yangu kitu chochote usipokitumia basi uwezo wake wa kufanya kazi unapungua.Sasa kama kuna mtaalamu naomba anishauri nitakuwa bomba au ndio imekula kwangu?