2017 sitaki kusikiliza maneno ya ndugu hasa kwenye maendeleo yangu
2017 nataka kuongeza vitega uchumi .
2017marafiki zangu ule utaratibu wa kujitegemea kwenye bata ndiyo naukaza zaidi kama upo humu mjipange ha hahahaha msinikimbie lakini ,, ila mkitaka kunitoa out offer nakuja ,, ila sitoi mimi
Kuongeza hela
Kuongeza kwenda kanisani
Kutoa michango ya harusi ili watu waolewe na kuoa
Kutoa michango ya Send off
Kutoa sadaka na Zaka kanisani
Kulea Mwanangu
Kujenga
Kumpenda mke wangu
Kuipenda Familia yangu
Kuachana na wanafiki
Kutomfatilia Faru Joni na Nchi yake maana nahisi utakuwa mwaka mgumu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.