Mwaka mpya mawaziri wapya hawa hapa, kutangazwa hivi karibuni

Kumbe hata Uwaziri rais anashindwa kupanga na kuchagua??? hajui nani anafaa nani hafai?? haya waweke rafiki na ndugu zao au zake; CCM lazime izame mchana kweupe
 
Matukio ni mengi yaliyoitikisa Tanzania, lakini hili la mawaziri wanne kung’oka limefunga mwaka vibaya,

WALIONG'OKA


  1. Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki.
  2. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi.
  3. Waziri wa i na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha.
  4. Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk David Mathayo.

WANAOKALIA KUTI KAVU:
Aidha, kufuatia sekeseke hilo, vyanzo mbalimbali vya habari za ndani vimesema kuwa, mawaziri wanaotajwa kukalia kuti kavu katika nafasi zao ni pamoja na

  1. Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe
  2. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Jumanne Kawambwa
  3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. Hawa Abdulkadil Ghasia
  4. Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi, Dk. William Mgimwa

WANAOTAJWA KUINGIA
:
Habari zinadai kuwa katika fumuafumua inayotarajiwa kufanyika ndani ya baraza hilo, baadhi ya wabunge na manaibu waziri wanatajwa kuingia kwenye baraza hilo.
  1. Dk. Asha-Rose Mitengeti Migiro (Mb kuteuliwa) kuwa waziri
  2. Mh. Januari Makamba (naibu waziri wa sayansi, teknolojia na elimu ya juu) kuwa waziri kamili,
  3. Mh. Mwiguru Nchemba (Mb) kuwa waziri,
  4. Mh. Peter Serukamba (Mb) kuwa waziri,
  5. Mh. Faustine Ndungulile (Mb) kuwa waziri
  6. Mh. Jenister Joachim Mhagama (Mb) kuwa waziri.
View attachment 129634

Je kutakua na mabadiliko katika maendeleo ya nchi hii 2014 au yale yale.....
Mwana Nchemba anafaa sana kuwa waziri,
 
usishangai nchemba kuwa wazir,kwan serikalin tunapeana uongoz kulipana fadhila na nchemba kaifanyia nyinyiem makubwa.
Hapo ni tetesi tu zakuteuliwa mshaanza kutokwaa povu ,akiteuliwa rasmi ufipa hapatakalika
 
Mleta mada kaleta uchuro sasa Dr. W. Mgimwa katutoka sijui nafasi yake atapewa nani!.. Haya mleta mada sema na nafasi hii pia atapewa nani?
 
Ukiacha Makamba wengine wote hawana nafasi na hawatateuliwa!

Dr Migiro alishindwa UN, kwa walikuwa UN HQ wanajua, amechoka kisiasa na sidhani kama anaweza kuleta tija! Nafasi anayoiweza ni Wizara ya Jinsia maybe....
Naye hana nafasi
 
akimteua na nchemba kuwa waziri ndo atakuwa ameizika ccm wale wakutengenezewa zaugauidi mtaponea wakopi!?
 
3. Mh. Mwiguru Nchemba (Mb) kuwa
waziri,

4. Mh. Peter Serukamba (Mb) kuwa
waziri,


Dah.......:(
R.I.P Me
 
No Filikunjombe? No Lowassa? no Kangi? YOU MUST BE KIDDING

kijana kwani wewe ni mtz? mbona unaingilia siasa za tz..ww si mbeba mabox huko nchi za watu na ulishaukana utanzania. temana na siasa zetu. nadhani utakuwa umetoroka mirembe ya ulaya, somebody plzz call 911 hyu mtu anaeitwa lukozii arudishe kwenye matibabu..
 
yani hao mawaziri tarajiwa ni majanga zaid...
Ccm imeisha...
 
No Filikunjombe? No Lowassa? no Kangi? YOU MUST BE KIDDING

Mkuu naona Filikunjombe akiwa Waziri lazima akuteu kuwa Mjumbe wa Bodi ya Taasisi ambazo zitakuwa chini ya Wizara yake ama akupendekeze kuwa Mwenyekiti wa Bodi kabisa!!
 
Matukio ni mengi yaliyoitikisa Tanzania, lakini hili la mawaziri wanne kung’oka limefunga mwaka vibaya,

WALIONG'OKA


  1. Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki.
  2. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi.
  3. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha.
  4. Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk David Mathayo.

WANAOKALIA KUTI KAVU:
Aidha, kufuatia sekeseke hilo, vyanzo mbalimbali vya habari za ndani vimesema kuwa, mawaziri wanaotajwa kukalia kuti kavu katika nafasi zao ni pamoja na

  1. Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe
  2. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Jumanne Kawambwa
  3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. Hawa Abdulkadil Ghasia
  4. Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi, Dk. William Mgimwa

WANAOTAJWA KUINGIA
:
Habari zinadai kuwa katika fumuafumua inayotarajiwa kufanyika ndani ya baraza hilo, baadhi ya wabunge na manaibu waziri wanatajwa kuingia kwenye baraza hilo.
  1. Dk. Asha-Rose Mitengeti Migiro (Mb kuteuliwa) kuwa waziri
  2. Mh. Januari Makamba (naibu waziri wa sayansi, teknolojia na elimu ya juu) kuwa waziri kamili,
  3. Mh. Mwiguru Nchemba (Mb) kuwa waziri,
  4. Mh. Peter Serukamba (Mb) kuwa waziri,
  5. Mh. Faustine Ndungulile (Mb) kuwa waziri
  6. Mh. Jenister Joachim Mhagama (Mb) kuwa waziri.
View attachment 129634



Je kutakua na mabadiliko katika maendeleo ya nchi hii 2014 au yale yale.....

.........Zingatia na uwiano watatakao teuliwa lazima watoke katika maeneo yafuatayo Kilimanjaro, Kagera, Ruvuma na Mzanzibari mmoja subiri ndani ya siku mbili uataniambia
 


wanaokalia kuti kavu:
aidha, kufuatia sekeseke hilo, vyanzo mbalimbali vya habari za ndani vimesema kuwa, mawaziri wanaotajwa kukalia kuti kavu katika nafasi zao ni pamoja na

  1. waziri wa maji, prof. Jumanne maghembe
  2. waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi, dk. Shukuru jumanne kawambwa
  3. waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu, tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi), mh. Hawa abdulkadil ghasia
  4. waziri wa fedha, mipango na uchumi, dk. William mgimwa
...
du aliyetabiri kweli noma hadi watakao rip.....
 
Back
Top Bottom