King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,593
Mulugo na Komba wawe mawaziri kamili maana uwaziri ni kazi ndogo kila mtu anaweza!
Matukio ni mengi yaliyoitikisa Tanzania, lakini hili la mawaziri wanne kungoka limefunga mwaka vibaya,WALIONG'OKA
- Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki.
- Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi.
- Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha.
- Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk David Mathayo.
WANAOKALIA KUTI KAVU:
Aidha, kufuatia sekeseke hilo, vyanzo mbalimbali vya habari za ndani vimesema kuwa, mawaziri wanaotajwa kukalia kuti kavu katika nafasi zao ni pamoja na
- Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe
- Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Jumanne Kawambwa
- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. Hawa Abdulkadil Ghasia
- Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi, Dk. William Mgimwa
WANAOTAJWA KUINGIA:
Habari zinadai kuwa katika fumuafumua inayotarajiwa kufanyika ndani ya baraza hilo, baadhi ya wabunge na manaibu waziri wanatajwa kuingia kwenye baraza hilo.
View attachment 129634
- Dk. Asha-Rose Mitengeti Migiro (Mb kuteuliwa) kuwa waziri
- Mh. Januari Makamba (naibu waziri wa sayansi, teknolojia na elimu ya juu) kuwa waziri kamili,
- Mh. Mwiguru Nchemba (Mb) kuwa waziri,
- Mh. Peter Serukamba (Mb) kuwa waziri,
- Mh. Faustine Ndungulile (Mb) kuwa waziri
- Mh. Jenister Joachim Mhagama (Mb) kuwa waziri.
Je kutakua na mabadiliko katika maendeleo ya nchi hii 2014 au yale yale.....
usishangai nchemba kuwa wazir,kwan serikalin tunapeana uongoz kulipana fadhila na nchemba kaifanyia nyinyiem makubwa.Mwiguli Nchemba kuwa rais???kweli serikali haipo makini hata kidogo
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mgimwa afya mbovu kodi ya sim card imemchanganya...kwa mgimwa kachemka,nahisi hizi sio tetesi ni mtazamo wake tu...
Kwa tz inaweza kuwa kweliuwaziri ni kazi ndogo kila mtu anaweza!
Matukio ni mengi yaliyoitikisa Tanzania, lakini hili la mawaziri wanne kungoka limefunga mwaka vibaya,WALIONG'OKA
- Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki.
- Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi.
- Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha.
- Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk David Mathayo.
WANAOKALIA KUTI KAVU:
Aidha, kufuatia sekeseke hilo, vyanzo mbalimbali vya habari za ndani vimesema kuwa, mawaziri wanaotajwa kukalia kuti kavu katika nafasi zao ni pamoja na
- Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe
- Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Jumanne Kawambwa
- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. Hawa Abdulkadil Ghasia
- Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi, Dk. William Mgimwa
WANAOTAJWA KUINGIA:
Habari zinadai kuwa katika fumuafumua inayotarajiwa kufanyika ndani ya baraza hilo, baadhi ya wabunge na manaibu waziri wanatajwa kuingia kwenye baraza hilo.
View attachment 129634
- Dk. Asha-Rose Mitengeti Migiro (Mb kuteuliwa) kuwa waziri
- Mh. Januari Makamba (naibu waziri wa sayansi, teknolojia na elimu ya juu) kuwa waziri kamili,
- Mh. Mwiguru Nchemba (Mb) kuwa waziri,
- Mh. Peter Serukamba (Mb) kuwa waziri,
- Mh. Faustine Ndungulile (Mb) kuwa waziri
- Mh. Jenister Joachim Mhagama (Mb) kuwa waziri.
Je kutakua na mabadiliko katika maendeleo ya nchi hii 2014 au yale yale.....
Mkuu PROSPER 05 Dr. Mgimwa ashafariki...
usishangai nchemba kuwa wazir,kwan serikalin tunapeana uongoz kulipana fadhila na nchemba kaifanyia nyinyiem makubwa.