Mwaka mpya mawaziri wapya hawa hapa, kutangazwa hivi karibuni

Kuliko kuwateua hao mwaziri wapya ni bora kuajiri mawaziri kutoka nje,tutajikaza tusile kama tuvyojikaza kipindi cha ununuzi wa ndege ya rais ili tutakao wajiri waje waturekebishie taasisi zetu na nchi kwa ujumla tofauti na hapo ni kupiga chama chini once for all,ccm hakuna viongozi bali wapiga deal tu
Mkuu umesema kweli,serikali ingebinafsishwa,ingekuwa safi sana.Mashirika yote yaliyobinafsishwa yanaendeshwa na watanzania hao hao kwa ufanisi,lakini taasisi za umma zinazoingiliwa na viongozi wa serikali kimaamuzi zinasuasua.
 
Mwiguli Nchemba kuwa rais???kweli serikali haipo makini hata kidogo

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mwigulu kuwa Rais?!

Unataka huyo aliyeko Magogoni hivi sasa a=step down kabla ya kipindi chake kwisha,mwaka 2015?!

Unataka kutuambia kuwa mkulu naye ni mzigo?

Lakini hatukuona aorodheshwe katika ile list ya akina Kinana na Nape, unless pengine unataka kutuambia,katika mwanzo wa mwaka huu mpya wa 2014, magamba wameibuka na list mpya ya mizigo mingine!
 
Mwigulu kuwa Rais?!

Unataka huyo aliyeko Magogoni hivi sasa a=step down kabla ya kipindi chake kwisha,mwaka 2015?!

Unataka kutuambia kuwa mkulu naye ni mzigo?

Lakini hatukuona aorodheshwe katika ile list ya akina Kinana na Nape, unless pengine unataka kutuambia,katika mwanzo wa mwaka huu mpya wa 2014, magamba wameibuka na list mpya ya mizigo mingine!

Hahahahaha asahau kuwa raisi hataa uwaziri akiupata basi patachimba maana jamaa ni empty empty kabisaaaaa hamna kiu hata kidogo, Hivi mkulu ni kazi gani hasa amewafanyia wananchi mpaka tuweze kumpa credit kama kiongozi anayefaa??sio mzigo sema sijui kama anajuwa anachokifanya, huu mzigo mwigulu ili mapema sana avuliwe maadarakayote yote sijui kwa nini mpaka sasa bado yupo.
 
Matukio ni mengi yaliyoitikisa Tanzania, lakini hili la mawaziri wanne kung’oka limefunga mwaka vibaya,

WALIONG'OKA


  1. Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki.
  2. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi.
  3. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha.
  4. Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk David Mathayo.

WANAOKALIA KUTI KAVU:
Aidha, kufuatia sekeseke hilo, vyanzo mbalimbali vya habari za ndani vimesema kuwa, mawaziri wanaotajwa kukalia kuti kavu katika nafasi zao ni pamoja na

  1. Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe
  2. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Jumanne Kawambwa
  3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. Hawa Abdulkadil Ghasia
  4. Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi, Dk. William Mgimwa

WANAOTAJWA KUINGIA
:
Habari zinadai kuwa katika fumuafumua inayotarajiwa kufanyika ndani ya baraza hilo, baadhi ya wabunge na manaibu waziri wanatajwa kuingia kwenye baraza hilo.
  1. Dk. Asha-Rose Mitengeti Migiro (Mb kuteuliwa) kuwa waziri
  2. Mh. Januari Makamba (naibu waziri wa sayansi, teknolojia na elimu ya juu) kuwa waziri kamili,
  3. Mh. Mwiguru Nchemba (Mb) kuwa waziri,
  4. Mh. Peter Serukamba (Mb) kuwa waziri,
  5. Mh. Faustine Ndungulile (Mb) kuwa waziri
  6. Mh. Jenister Joachim Mhagama (Mb) kuwa waziri.
View attachment 129634

Je kutakua na mabadiliko katika maendeleo ya nchi hii 2014 au yale yale.....
yale yale tu jina ndo la badirika..
 
Juzi nilikuwa namtania Mbunge wangu Daktari wa kwenda Shule Faustine Ndugulile kuwa sasa hivi utateuliwa kuwa Waziri,

Akasema Mungu ndie kiongozi wa yote,

Japokuwa nitasikitika sana hao wengine wakiteuliwa kuwa mawaziri, lakini kwa huyu Mbunge Ndugulile nitakuwa mwenye furaha na ccm itakuwa imejitendea haki,

Awe waziri wa Afya na sio sehemu nyingine.
 
Huyo Mama Migiro namkubali manake kapewa ubunge fasta fasta!!!!! maandalizi ya uwaziri, lakini atachukua nafasi gani? mambo ya nje ingemfaa zaidi lakini kule kuna shem......

Kitakuwa kichekesho kikubwa sana kama Migiro atakuwa Mambo ya Nje. Itakuwa aibu kwa Katibu Mkuu Msaidizi UN kuwa waziri hukohuko. Shame. Siami ingawa kwa maajabu ya Kikwete anaweza kufanya blanda hiyo. Mungu Ibariki Tanzania.
 
Mwigulu kuwa Rais?!

Unataka huyo aliyeko Magogoni hivi sasa a=step down kabla ya kipindi chake kwisha,mwaka 2015?!

Unataka kutuambia kuwa mkulu naye ni mzigo?

Lakini hatukuona aorodheshwe katika ile list ya akina Kinana na Nape, unless pengine unataka kutuambia,katika mwanzo wa mwaka huu mpya wa 2014, magamba wameibuka na list mpya ya mizigo mingine!

membe kuwa waziri wa tamisemi ikiwa ni njia ya kumpa link na wapiga kura
 
Mwigulu akiwa waziri ntajua kwamba hatuna system nzuri ya kupata viongozi
 
Thank u God,ili nipate nafasi ya kumshughulikia "babu" kisawasawa na wahuni wenzie lol!
 
Haaaa acheni kuchekesha watu Mwigulu kuwa waziri wa nini nchii hata ubunge ni dhihaka kwa wana iramba anapaswa kuwa mjumbe wa nyumba kumi tu kwa akili zake.
 
Back
Top Bottom