BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 325
- 414
Na Bwanku M Bwanku.
Leo Alhamisi Machi 17, 2022 kwenye Gazeti la TANZANIA LEO Ukurasa wa 6 nimechambua mafanikio na mapinduzi makubwa sana yaliyopatikana kwenye Sekta ya Madini katika kipindi hiki kifupi cha Mwaka Mmoja wa Mhe. Samia Suluhu Hassan kama Rais wa Taifa letu.
Mwaka Mmoja wa Rais Samia, tumeshuhudia mabadiliko na mapinduzi makubwa sana kwenye Sekta ya Madini ikiwemo kuongezeka kwa Mchango wa Sekta kwenye Pato la Taifa kutoka 6.5% hadi 7.3%, mapato ya Madini kufikia Bilioni 597.5 (Mapato ya Juu sana kuwahi kutokea), kuzidi kuongeza thamani Madini hapahapa nchini kabla ya kwenda Nje, kuingia mikataba mikubwa zaidi ya 4 kwenye Uchimbaji wa Madini na Makampuni na mengine mengi sana. Pata NAKALA sasa ya Gazeti hili ushuhudie mwenyewe kazi kubwa iliyofanyika kwenye Sekta hii iliyopo 5 Bora kwa umuhimu sana kwa Uchumi wa Taifa letu.
Leo Alhamisi Machi 17, 2022 kwenye Gazeti la TANZANIA LEO Ukurasa wa 6 nimechambua mafanikio na mapinduzi makubwa sana yaliyopatikana kwenye Sekta ya Madini katika kipindi hiki kifupi cha Mwaka Mmoja wa Mhe. Samia Suluhu Hassan kama Rais wa Taifa letu.
Mwaka Mmoja wa Rais Samia, tumeshuhudia mabadiliko na mapinduzi makubwa sana kwenye Sekta ya Madini ikiwemo kuongezeka kwa Mchango wa Sekta kwenye Pato la Taifa kutoka 6.5% hadi 7.3%, mapato ya Madini kufikia Bilioni 597.5 (Mapato ya Juu sana kuwahi kutokea), kuzidi kuongeza thamani Madini hapahapa nchini kabla ya kwenda Nje, kuingia mikataba mikubwa zaidi ya 4 kwenye Uchimbaji wa Madini na Makampuni na mengine mengi sana. Pata NAKALA sasa ya Gazeti hili ushuhudie mwenyewe kazi kubwa iliyofanyika kwenye Sekta hii iliyopo 5 Bora kwa umuhimu sana kwa Uchumi wa Taifa letu.