Mwaka mmoja sasa umepita toka tulipowapoteza wapiganaji wetu hodari huko DRC

tatum

JF-Expert Member
Jan 16, 2018
5,786
4,490
_99162129_cd6a9d09-6e81-4fba-8e37-943ad740e458.jpg

Hafla ya kuwaaga wanajeshi 14 wa Tanzania waliokuwa walinda amani wa Umoja wa Mataifa waliouawa nchini Jamhuri ya Demokrasia ya Congo imefanyika jiji Dar es Salaam mwaka mmoja uliopita tarehe waliouwawa tarhe 8 December 2017

Wanajeshi hao waliuawa baada ya kupigana na waasi kwa muda wa saa 13 kufuatia waasi hao kuishambulia kambi yao.

Sherehe hizo zimefanyika kwenye Makao Makuu ya Jeshi la ulinzi wa Wananchi Tanzania "Ngome" Upanga jijini Dar es Salaam

Mkuu wa ulinzi wa amani wa Umoja wa mataifa Jean Piare Lacroix, alihudhuria sherehe hizo. Familia za wanajeshi hao nazo zilikuwepo na zimeungana na wapendwa wao kuelekea mikoani.

Mungu azilaze roho za marehemu wapiganaji wetu mashujaa wetu mahali pema peponi.Amen
 
We utakuwa mjedah
Any way wapumzike kwa Amani
Masojah wote tuliyowapoteza

Ova
 
Mungu awaweke Mahali pema makamanda wetuuuu.... Nakubali sana hao soldiers mana japo walifanyiwa ambush saa 13 walijibu mashambulizi mpk u mautiii unawakuta R. I. P SOLDIERS
 
RIP Wapiganaji wetu mliotoa miili yenu kwa ajili ya amani ya wengine.
 
Mungu awaweke Mahali pema makamanda wetuuuu.... Nakubali sana hao soldiers mana japo walifanyiwa ambush saa 13 walijibu mashambulizi mpk u mautiii unawakuta R. I. P SOLDIERS
kabisa
 
RIP comrades
Mahiga Sasa ashawishi policy review ya TZ foreign relation iwe kiuchumi zaidi tuachane na ujirani mara ukombozi bila inputs huku damu za wapendwa wetu zikipotea
 
RIP comrades
Mahiga Sasa ashawishi policy review ya TZ foreign relation iwe kiuchumi zaidi tuachane na ujirani mara ukombozi bila inputs huku damu za wapendwa wetu zikipotea
Ukienda milima ya Golani mpaka kati ya Israel na Palestine wapo walinda amani wa kutoka UN toka mwaka 1974 wanapokezana tu.
 
Back
Top Bottom