Kumuappreciate mwanaume ktk sekta gani? Siasa, uchumi au kijamii. Wanaume wa Tanzania tu au dunia nzima!!si rahisi unikute namuappreciate mwanaume ila katika list ya wanaume wachache ninaowakubali na deo yupo.
we miss you dearly brother deo rip!
kwa kila kituKumuappreciate mwanaume ktk sekta gani? Siasa, uchumi au kijamii. Wanaume wa Tanzania tu au dunia nzima!!
Pole sanakwa kila kitu
Rip hon Deo F.Leo Oktoba 15 tunafikisha mwaka mmoja tangu kuondokewa na kipenzi chetu Deo Filikunjombe. Sisi watu wa Ludewa tutakukumbuka daima kwa uchapakazi wako.
Tulikupenda Deo Ila mungu hakutaka uendelee kuwa nasi. Pumzika Deo.