Mwaka mmoja CCM kwisha

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,601
94,726
Wana jamvi heri ya X-MASS,huku tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja wa serikali mpya madarakani hali ya ccm inazidi kudhoofu na huku ikikizidi kupoteza mvuto na wafuasi wengi na upinzani ukizidi kujiimarisha kisayansi zaidi.nawashauri wana ccm wana endelea kuugulia maumivu tumboni wahamie upinzani tu kwani kuhama chama hutakiwi kumuaga mjumbe wa nyumba kumi wala haubebi masanduku
 
0bc8217d8670c5fdefb26ea812f5333b.jpg
 
tutawachapa kwenye uchaguzi mdogo,halafu tuwanyooshe 2019 na 2020 tuwazike kabisa!
sie vitendo tu,blah blah tumewaachia nyie!
Hayo ni maneno tu hata kwenye khanga yapo ila ukweli mnaujua na ccm anaye iua mnamjua
 
Wana jamvi heri ya X-MASS,huku tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja wa serikali mpya madarakani hali ya ccm inazidi kudhoofu na huku ikikizidi kupoteza mvuto na wafuasi wengi na upinzani ukizidi kujiimarisha kisayansi zaidi.nawashauri wana ccm wana endelea kuugulia maumivu tumboni wahamie upinzani tu kwani kuhama chama hutakiwi kumuaga mjumbe wa nyumba kumi wala haubebi masanduku
Ndio maana viroba vinapigwa vita.Umekunywa vingapi ?!
 
Pale unapoona adui/ mpinzani wako ni dhaifu kila idara lakini bado anakuchakaza nje ndani kila siku. Tatizo nani, sio wewe kweli?????
Hilo wao hawalioni wanajiona kama wao ndiyo wenye leseni ya kuitawala nchi hii
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom