Mwaka mgumu kwa mafisadi: Wananchi Buzwagi wafunga mgodi wakitaka fidia

Kitila Mkumbo

JF-Expert Member
Feb 25, 2006
3,354
1,943
Kwa kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Habari ambazo nimezipokea dakika hiihii kutoka Buzwagi zinasema kuwa wananchi wa huko wamefunga mgodi wa madini wa Buzwagi wakitaka walipwe fidia. Mtu aliyenipa taarifa hizi anasema kuwa mapolisi wameshakuwa dispatached kwenda huko tayari kwa kuwatawanya wananchi na mabomu ya machozi yalishaanza kupigwa. Kwa kuwa tuna wanachama wetu wa JF pale kwenye mgodi wa Buzwagi, naamini watatuletea habari kwa kina zaidi.

Kitu kimoja kipo wazi kwa tukio kama hili: wananchi wapo tayari kwa mabadiliko. Pengine kunachokosekana ni uongozi wa kuongoza haya mabadiliko. And this is where the challenge lies for the opposition.
 
Mkuu Kitila,
Thanks for the info... ngoja nitafute mawasiliano na wadau walioko ndani ya Buzwagi.
 
Hata mimi nimepata PM muda si mrefu, ngoja niifuatilie hii pia. Utakuta kuna watu watasema hapa kuwa hao wananchi wa Buzwagi waende mahakamani ili kupeleka madai yao huko.
 
Nimefurahishwa sana na habari uliyotuletea Kitila inaonyesha ni kiasi gani unaijali nchi yako hata kama uko mbali. Big up kwa wananchi waliofunga mgodi,naona watanzania wanaanza kuamka usingizini, hicho ndo tunachotaka. Ifike siku waziri afungiwe mlango nje ya ofisi yake maana viongozi wetu maneno hayawaingii.Si unajua 'actions speak louder than words'.
 
Wakuu Salamu
Ni wakati muafaka viongozi wa dini na jumuia za wafanyakazi,wanafunzi na asasi zingine zikaanza kuamka na kuunga mkono wanyonge,tusikazanie viongozi wa upinzani tu.Nakumbusha tena iundwe Tanzania Electoral Support Network(TESN) itoe uoga wananchi.
 
Kwa kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Habari ambazo nimezipokea dakika hiihii kutoka Buzwagi zinasema kuwa wananchi wa huko wamefunga mgodi wa madini wa Buzwagi wakitaka walipwe fidia. Mtu aliyenipa taarifa hizi anasema kuwa mapolisi wameshakuwa dispatached kwenda huko tayari kwa kuwatawanya wananchi na mabomu ya machozi yalishaanza kupigwa. Kwa kuwa tuna wanachama wetu wa JF pale kwenye mgodi wa Buzwagi, naamini watatuletea habari kwa kina zaidi.

Kitu kimoja kipo wazi kwa tukio kama hili: wananchi wapo tayari kwa mabadiliko. Pengine kunachokosekana ni uongozi wa kuongoza haya mabadiliko. And this is where the challenge lies for the opposition.

Kwa hili jambo wananchi wa Buzwagi wana haki zote za kufanya hayo wanayofanya kama hawajalipwa fidia ama kama hawaoni faida wanayoipata tokana na mgodi huo.
 
mafisadi na wenye mgodi has nothing to loose,losers ni wananchi maana damage has been done already na wale walio sign contracts....dawa ni kuwa vote out hao CCM waliofanikisha hii kitu labda watajifunza lakini kufunga mgodi naona ni wrong target na wataishia kuchapwa tuu na FFU,lakini cha ajabu CCM watashinda hapo Buzwagi kwa kishindo,hao wananchi wana deserve hii hali ya umaskini maana kazi yao ni kutukana wapinzani kuwaona matapeli kumbe wanachangia kuua nchi
 
Wakuu Salamu
Ni wakati muafaka viongozi wa dini na jumuia za wafanyakazi,wanafunzi na asasi zingine zikaanza kuamka na kuunga mkono wanyonge,tusikazanie viongozi wa upinzani tu.Nakumbusha tena iundwe Tanzania Electoral Support Network(TESN) itoe uoga wananchi.

...then at the end of the day mafisadi wanashinda kwa 80% ya viti vyote bungeni na uraisi,acha wananchi wapigwe na njaa kali ili wajifunze,at least wangewapa wapinzani hata 40% ningeona kuna nia pande zote kupambana na ufisadi lakini 80%? hakuna sababu ya kupoteza muda hapo!
 
...then at the end of the day mafisadi wanashinda kwa 80% ya viti vyote bungeni na uraisi,acha wananchi wapigwe na njaa kali ili wajifunze,at least wangewapa wapinzani hata 40% ningeona kuna nia pande zote kupambana na ufisadi lakini 80%? hakuna sababu ya kupoteza muda hapo!
Inabidi tu tujaribu kuwa mobilize this time and then whatever happens happens!Inabidi tuwachukulie hivyo hivyo tu kwani wengi wao pia wana elimu duni!Ila kama kweli wameamka then tuwape break fast and then majukumu ya siku!
 
samahani jamani! ninaitwa shomari, napenda kujiunga nanyi JF na kutoa mchango wangu, Asanteni!
 
France revolution kutokea Tanzania?

The only way French revolution can happen in Tanzania is if CCM continues to ignore the malaise of the people and to violently surpress them. Mimi binafsi nafikiri ya kuwa muda wa revolution kama hizi zimepita. Angalia Cuban revolution na mapinduzi ya Zanzibar. What happens is that watawala wanatolewa kwa nguvu and they are replaced by new watawala.
The way is actually to do this through the legal system. I am aware of the shortcomings of the legal system of Tanzania, but we have to keep at it. Nakubaliana na hoja ya kuwa 2010, wananchi ni lazima wasimame kidete na kuhakikisha hawanunuliwi na hawaibiwi kura zao. Speak with the ballot box.
 
yaani mie nataka JK asipewe muda wa kupumua.
likimaliza soo moja na lianze jengine. mwendo mdundo.
manake vinginevyo hawa ccm wanakuwa na kiburi na huwa hawana uchungu na nchi yao
 
samahani jamani! ninaitwa shomari, napenda kujiunga nanyi JF na kutoa mchango wangu, Asanteni!

bwana shomari karibu, hapa ukishajiandikisha na kufanikisha kilichobaki ni kuchangia.

hili ni eneo huru mawazo mbali mbali yanaruhusiwa ukija kwa kujenga utakutana na wajenzi wenzio na ukija kwa kubomoa utakutana na wenye uwezo wa kukunyoosha na kukuelekeza ktk njia ilio sawa

karibu na mengi utjionea mwenyewe kila ukiwepo na kuchangia
 
Tuwaunge mkono wananchi wa Buzwagi, kwani huo ni mojawapo ya migodi yenye mikataba ya mizengwe. Cha msingi ni kuwapa taarifa muhimu zitakazowawezesha kujenga hoja juu ya madai yao.
Tukumbuke kuwa migodi yote ilikuwa imeshikilwa na vigogo wa RICHMOND hivyo wameteteraka sana kwa sasa na sheria zinawabana ktk kona mbalimbali ikiwepo mitaa ya kodi n.k
Mfano jamaa RA ndiye mwenye contract za kuchimba dhahabu ktk migodi yote na kampuni ianyochimba haina mining license yet akataka kusamehewa kodi ya mafuta ... ila hivi majuzi kibao kimegeuka na kula penalt a kufa mtu!!! hata hivyo wakati Chiligati alipotangaza kupanda kwa kima cha chini kwenye sekta ya madini yeye RAziz na kampuni yake ya Capsian walikataa kuwapa wafanyakazi wachimbaji kwa madai kuwa kampuni yake inayochimba ni industry na siyo ya mining ... hivyo wenzetu wa baadhi ya miigodi bado wanasota hawajpata mishhara mipya!!!

Tujiulize iweje industry ikachimbe wakati huohuo watake kusamehewa kodi ya mafuta wakati hawana mining license??? Halfu itakuwaje kampuni ambayo haina mining license ipewe kazi kubwa kama hiyo??? POLITIC NDUGU!!!

Poleni kwa kuwaletea habari ndefu ila nadhani ina uhusiano mkubwa na kilio cha wananchi wa Buzwagi .... kwani wanolia siyo walio nje tu hadi wafanyakazi wa migodini ... they are going through hell!!!!
 
Tuwaunge mkono wananchi wa Buzwagi, kwani huo ni mojawapo ya migodi yenye mikataba ya mizengwe. Cha msingi ni kuwapa taarifa muhimu zitakazowawezesha kujenga hoja juu ya madai yao.
Tukumbuke kuwa migodi yote ilikuwa imeshikilwa na vigogo wa RICHMOND hivyo wameteteraka sana kwa sasa na sheria zinawabana ktk kona mbalimbali ikiwepo mitaa ya kodi n.k
Mfano jamaa RA ndiye mwenye contract za kuchimba dhahabu ktk migodi yote na kampuni ianyochimba haina mining license yet akataka kusamehewa kodi ya mafuta ... ila hivi majuzi kibao kimegeuka na kula penalt a kufa mtu!!! hata hivyo wakati Chiligati alipotangaza kupanda kwa kima cha chini kwenye sekta ya madini yeye RAziz na kampuni yake ya Capsian walikataa kuwapa wafanyakazi wachimbaji kwa madai kuwa kampuni yake inayochimba ni industry na siyo ya mining ... hivyo wenzetu wa baadhi ya miigodi bado wanasota hawajpata mishhara mipya!!!
 
Tuwaunge mkono wananchi wa Buzwagi, kwani huo ni mojawapo ya migodi yenye mikataba ya mizengwe. Cha msingi ni kuwapa taarifa muhimu zitakazowawezesha kujenga hoja juu ya madai yao.
Tukumbuke kuwa migodi yote ilikuwa imeshikilwa na vigogo wa RICHMOND hivyo wameteteraka sana kwa sasa na sheria zinawabana ktk kona mbalimbali ikiwepo mitaa ya kodi n.k
Mfano jamaa RA ndiye mwenye contract za kuchimba dhahabu ktk migodi yote na kampuni ianyochimba haina mining license yet akataka kusamehewa kodi ya mafuta ... ila hivi majuzi kibao kimegeuka na kula penalt a kufa mtu!!! hata hivyo wakati Chiligati alipotangaza kupanda kwa kima cha chini kwenye sekta ya madini yeye RAziz na kampuni yake ya Capsian walikataa kuwapa wafanyakazi wachimbaji kwa madai kuwa kampuni yake inayochimba ni industry na siyo ya mining ... hivyo wenzetu wa baadhi ya miigodi bado wanasota hawajpata mishhara mipya!!!

Tujiulize iweje industry ikachimbe wakati huohuo watake kusamehewa kodi ya mafuta wakati hawana mining license??? Halfu itakuwaje kampuni ambayo haina mining license ipewe kazi kubwa kama hiyo??? POLITIC NDUGU!!!

Poleni kwa kuwaletea habari ndefu ila nadhani ina uhusiano mkubwa na kilio cha wananchi wa Buzwagi .... kwani wanolia siyo walio nje tu hadi wafanyakazi wa migodini ... they are going through hell!!!!
 
Mkuu Kitila,

Nafikiri hiyo ni njia pekee ya hawa wananchi kuweza kudai haki zao.Wameshapigika sana kwa ahadi kebekebe na maneno matamu ya viongozi.
Hivyo tuwaunge mkono kwa kila namna.

Wembe.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom