Mwaka juzi 2020 zaidi 90% ya wanafunzi wa Law School of Kenya walifeli, mitihani, uchunguzi ukaonyesha LSK ndio wenye makosa

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,452
17,156
Hii sakata la wanafunzi wa Law School of Tanzania kushindwa kufaulu mitihani kwa kiwango kikubwa hivi imenikumbusha sakata kama hilo kwa LSK kwa mwaka 2020 ambapo zaidi ya 90% ya wanafunzi wali fail.

Baada ya matokeo kutoka na malalamiko kua makubwa, Serikali ikaamuru uchunguzi ufanyike na ikagundulika kwtamba wanafunzi hawakua na makosa bali chuo cha sheria.

Chuo cha sheria waligundulika kuwa chanzo cha kushindwa kwa wanafunzi kwa sababu walitunga mitihani ya masomo(topics) ambayo hawajafundisha kabisa na wao wakakiri kua hawakua wamefundisha lakini bado wakatunga mitihani yake kwa wanafunzi.

Na hii ni kawaida kwa mfumo wetu wa kielimu wa Tanzania pia walimu kutoa maswali kwa topic ambazo eitha zimefutwa ana hazipo kwenye mtaala.

Nakumbuka , kipindi nasoma elimu ya sekondari ya awali, kwenye somo la hesabu kulikua na maswali ya topic ya nyota(star) ila kwenye mtaala haikuwepo hiyo topic ilishafutwa lakini maswali yake lazima ulikua unakuta a nayo kwenye mitihani.

Hivyo basi tutegemee uchunguzi wa LST kuja na majibu ya chanzo cha hii mass failure.

 
Warudie kusahisha kama walivyofanya kwenye ile mass failure ya form 4 mwaka 2012…


Ila kimsingi Law ni ngumu…
Nilikuwa nna ka somo tu kanaitwa Basic Principles of Law Mhh ilikuwa noma mazee.
 
Very stupid UGONJWA unaumwa wewe halafu unaanza kusema mbona fulani na yeye anaumwa
 
Warudie kusahisha kama walivyofanya kwenye ile mass failure ya form 4 mwaka 2012…


Ila kimsingi Law ni ngumu…
Nilikuwa nna ka somo tu kanaitwa Basic Principles of Law Mhh ilikuwa noma mazee.
Hizo basic principles of law utailinganisha na Basic principles of anatomy?
Kwann madaktari wafaulu halafu kukariri tuvifungu tu vya sheria ndio wafeli hivyo?
 
Warudie kusahisha kama walivyofanya kwenye ile mass failure ya form 4 mwaka 2012…


Ila kimsingi Law ni ngumu…
Nilikuwa nna ka somo tu kanaitwa Basic Principles of Law Mhh ilikuwa noma mazee.
😀😀😀😀 Kumbe tupo na vitoto kama nyie, form 4 2012 dah
 
Kimsingi nimekata O level 2013,, ila mimi sio mtoto…
Hiyo 2012 nilikuwa kidato cha 3C

Pengine nilianza form1 nikiwa na miaka 20 😂😂😂😂
Tototoooo chuchuuuu 😉😉 bado upo kasichana kabichi kabisaaa.. Ujachakaa odo haisomi mille za kutosha
 
Back
Top Bottom