Mwaka jana Serikali ilitangaza kuanza kununua mafuta moja kwa moja toka kwa wazalishaji. Mpango huu umefia wapi na kwanini?

Dr Akili

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
4,952
4,326
Tarehe 31 October 2021, waziri wa Nishati, January Makamba akiwa Arusha alitangaza serikali kuanza kununua mafuta ya petroli na dizeli moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji wa nchi rafiki, kupitia Shirika la Taifa la Mafuta (TPDC),ili kuondokana na changamoto za gharama kubwa za wanunuzi wa kati na kudhibiti mfumuko wa bei.

Alisema ile azma ya miaka mingi ya serikali ya kununua shehena ya mafuta moja kwa moja toka kwa wazalishaji, sasa imetimia. Mwezi August 2021 wakati bei ya pipa moja kwenye soko la dunia ilikuwa dola 73, makampuni ya kimataifa ambayo huwa yanatuletea haya mafuta, yalituletea kwa bei ya dola 30 kwa kila metric ton moja. Mwezi Desemba 2021 wakati bei ya pipa ikiwa imepanda hadi kufikia dola 86, TPDC waliweza kutuletea mafuta hayo kwa dola 20 kwa kila metric ton moja.

Hivyo kwa sasa wakati bei ya pipa moja ni dola 100, TPDC tuna uhakika wanaweza kuyaleta mafuta hayo kwa bei ya dola 25 kwa kila tani moja ya ujazo badala ya dola 50 tunayoletewa na haya makampuni binafsi. TPDC wakipewa hiyo ruzuku ya Sh 100 billion ya mwezi June, bei ya mafuta haya inaweza kutelemka hadi kufikia Sh 1,500 kwa lita moja na hivyo kupunguza sana huu mfumuko wa bei tulionao sasa. Tazama ukokotaji wa bei hiyo ya Sh 1,500 kwenye thread yangu iliyopita.

Cha ushangaza, nini kimetokea hapa katikati hadi mpango huu umefilia mbali? Yani licha ya serikali kufanya ziara kwenye nchi rafiki zinazozalisha mafuta huko falme za kiarabu, Waziri wa nishati ameshaacha kuongelea mpango huo. Wabunge wetu tunawaomba mumbane aufufue mpango huo haraka iwezekanavyo, hasa katika kipindi hiki kigumu cha vita kati ya USA/NATO na Russia inayopiganwa kwenye uwanja wa Ukraine.

 
Kwahiyo na ww uliamini ule utapeli?
Yaani huwa nashangaa binadamu mwenye akili timamu anayeamini chochote toka kwa mwana CCM.

Leo kuna mbunge huko bungeni amesema Royal Tour imeanza kulipa kwani hata kwenye tamthiliya ya "Revenge" -

Azam Two, kuna mtu ameulizwa apelekwe wapi, eti " au Tanzania". Yaani yeye mbunge hajui kabisa kuwa ile sauti ya kiswahili (dubbing) imefanywa na Azam na kubadilishwa baadhi ya uhalisia!!?

Mbunge,tena mmama anaonyesha uwongo wake hadharani pasi na aibu.

Hao ndio CCM, wana wa yule baba wa uongo.
 
Yaani huwa nashangaa binadamu mwenye akili timamu anayeamini chochote toka kwa mwana CCM.
Leo kuna mbunge huko bungeni amesema Royal Tour imeanza kulipa kwani hata kwenye tamthiliya ya "Revenge" - Azam Two, kuna mtu ameulizwa apelekwe wapi, eti " au Tanzania". Yaani yeye mbunge hajui kabisa kuwa ile sauti ya kiswahili (dubbing) imefanywa na Azam na kubadilishwa baadhi ya uhalisia!!??
Mbunge,tena mmama anaonyesha uwongo wake hadharani pasi na aibu.
Hao ndio CCM,wana wa yule baba wa uongo.

Nimecheka kwa nguvu, utakuta akili yake haiwezi kupambanua hayo mambo, kisha unaambiwa eti ndio watunga sheria.
 
Kwenye kuandika either uwe una critise, analyse or evaluate; hakikisha unatumia reference sahihi, apply reasoning za industry husika in relation to the structure of your market environmental and so forth.

Kwa mantiki hiyo kabla ya kukosoa bulk procurement na kusema mfumo wake ni wa ulanguzi ungeelezea how they can cheat consumers; wakati ili ulete mafuta unashinda tender based on lowest bid.

Regulator ‘Petroleum Bulk Procurement Agency’ na wenyewe wanaangalia bei za refined oil sokoni kuona kama kweli hizo ndio possibles cheapest prices.

There is no secrecy on ‘Bulk procurement’ na bei za refined sio sawa na bei unazotumia za crude oil. Wameshaelezea ukitaka kujua hizo bei kwa mwezi ingia S&P Global, huko ndio utaona bei za refined oil zinazotangazwa na Platts (au ingia directly kwenye website yao).

TPDC kununua mafuta sokoni hakutafanya bei ya mafuta ishuke kwanza tayari wanashiriki at small scale hawana advantage zozote kwenye manunuzi tofauti na wengine if anything wanazidiwa storage capacity na private organisations.

Waziri hakusema watatoa liquid cash ya tsh billioni 100, walichosema temporarily watasemehe makusanyo yenye thamani ya billion 100 kupitia fees, levies and taxes.

Tanzania aitumii barrels 18,000 a day, sasa hivi roughly ni 70000 barrels a day.

Kibaya zaidi jamaa wa EWURA wametumia muda mwingi sana kuelezea global market and Tanzania market structure.

Sasa sio lazima kila mtu akubaliane na hoja zao; but it’s a point of reference unapotaka kutoa njia mbadala. Uwezi kujitungia tu vitu kichwani kwako on what you think is right bila ya kuelewa vitu vinafanyikaje kwanza then utoe mapendekezo on merit.

Kuna shida kubwa sana kwenye ku decode information Tanzania; wahusika wanaweza tumia muda mwingi kuelezea jambo from scratch to how the whole operation works from beginning to end. Ajabu kuna watu watasikia vitu vingine kabisa na kilichosemwa kwa marudio.

Kaazi kweli kweli
 


Mada muhimu ya mafuta washiriki walikuwa ni key technocrats kwenye sector ya mafuta kutoka wizarani, EWURA na wadau wengine wenye uelewa mpana; ambao kwa pamoja walitoa somo pana sana na kutufunza mengi how things work.

Video aina views hata 900 and those are the key policy makers wakiilezea sector kinaga ubaga you don’t get the inside other than that.

Watu hawasikilizi wataalamu wanasemaje wakitoka hapo wanajiropokea vitu tu wanavyodhania vichwani mwao.

Ndio maana mtu kama Magufuli alikuwa hana huo muda wa kuelezea kitu kile kile kila muda; wengine walikuwa wanakutana na consequences tu wakanun’gunikie huko wanapojua.
 
Kwenye kuandika either uwe una critise, analyse or evaluate; hakikisha unatumia reference sahihi, apply reasoning za industry husika in relation to the structure of your market environmental and so forth.

Kwa mantiki hiyo kabla ya kukosoa bulk procurement na kusema mfumo wake ni wa ulanguzi ungeelezea how they can cheat consumers; wakati ili ulete mafuta unashinda tender based on lowest bid.

Regulator ‘Petroleum Bulk Procurement Agency’ na wenyewe wanaangalia bei za refined oil sokoni kuona kama kweli hizo ndio possibles cheapest prices.

There is no secrecy on ‘Bulk procurement’ na bei za refined sio sawa na bei unazotumia za crude oil. Wameshaelezea ukitaka kujua hizo bei kwa mwezi ingia S&P Global, huko ndio utaona bei za refined oil zinazotangazwa na Platts (au ingia directly kwenye website yao).

TPDC kununua mafuta sokoni hakutafanya bei ya mafuta ishuke kwanza tayari wanashiriki at small scale hawana advantage zozote kwenye manunuzi tofauti na wengine if anything wanazidiwa storage capacity na private organisations.

Waziri hakusema watatoa liquid cash ya tsh billioni 100, walichosema temporarily watasemehe makusanyo yenye thamani ya billion 100 kupitia fees, levies and taxes.

Tanzania aitumii barrels 18,000 a day, sasa hivi roughly ni 70000 barrels a day.

Kibaya zaidi jamaa wa EWURA wametumia muda mwingi sana kuelezea global market and Tanzania market structure.

Sasa sio lazima kila mtu akubaliane na hoja zao; but it’s a point of reference unapotaka kutoa njia mbadala. Uwezi kujitungia tu vitu kichwani kwako on what you think is right bila ya kuelewa vitu vinafanyikaje kwanza then utoe mapendekezo on merit.

Kuna shida kubwa sana kwenye ku decode information Tanzania; wahusika wanaweza tumia muda mwingi kuelezea jambo from scratch to how the whole operation works from beginning to end. Ajabu kuna watu watasikia vitu vingine kabisa na kilichosemwa kwa marudio.

Kaazi kweli kweli
Wewe Kilatha na yule Duksi naona mnatoka jamii moja, mnayojiita technocrats wa uagizaji wa mafuta.

Takwimu mnazotumia sijui mnazitoa kwenye mamlaka ipi ya takwimu za nchi yetu. Reference yenu Kipima joto cha ITV! Ni maajabu ya dunia. Haya takwimu zenyewe kila mtu ana zake:
  • Haya wewe unasema matumizi yetu kwa siku ni barrels 70,000 sawa na lita 11,130,000 kwa siku.
  • Mwenzako Duksi anasema ni lita 10,900,000 kwa siku.
  • Waziri wenu wa nishati anasema ni lita 3,933,300 kwa siku kwa mwezi May ila kwa mwezi June, baada ya ruzuku ya sh 100 billion kupatikana, matumizi kwa siku yatakuwa lita 6,143,718!

Ununuzi wa mafuta hauna tofauti na Ununuzi wa bidhaa zingine. Zote zina sehemu zinazotengenezwa, yaani kiwandani. Viwanda huwa haviuzi bidhaa zake kwa rejareja bali huuza in bulk kwa yule mwenye uwezo wa kifedha. Ni mbumbu gani utamdanganya kwamba hayo makampuni yanayopewa tender na serikali yana uwezo mkubwa kuliko serikali kuleta mafuta hayo?

Nani hajui kwamba tendering process hasa nchini kwetu imegubikwa na corruption ya hali ya juu? The lowest tenderer Ni yule aliyeweza kushibisha matumbo ya members of the Tender Board na the Regulator of the Petroleum Bulk Procurement Agency. Nani hajui kwamba hata baadhi ya hao so called technocrats nao huvuta chao? Hata baadhi ya ya wana takukuru na polisi, nao huvuta chao kulingana na urefu wa kamba zao?

Kipi ambacho hujaelewa hapa kama wewe ni technocrats wa ukweli? Bei tunayozungumza hapa ni cost, freight & insurance (cif) price ya lita moja ya refined oil, ambayo waziri wako aliitaja huko bungeni kuwa ni TZS 2,100. Wewe una refer ya Kipima joto cha ITV!

Waziri wako, akiwa huko Arusha kwenye mkutano na waandishi wa habari, alisema kuwa mwezi August 2021 hao mawakala wako wa lowest tender walituletea mafuta kwa cif price ya dola 30 kwa metric ton moja ya ujazo. Kipindi hicho pipa la crude oil lilikuwa linauzwa dola 73. Mwezi Desemba 2021, wakati bei ya crude oil kwa pipa ikiwa imefikia dola 86, TPDC walifanikiwa kuyaleta mafuta hayo kwa cif price ya dola 20 kwa metric ton moja ya ujazo. Baada ya hapo TPDC wakapigwa ban kuendelea kuleta nchini mafuta haya hadi sasa. Kipi ambacho ni kigumu kukielewa hapo? Kinahitaji utalaamu gani kukielewa hawa technocrats wa Kipima joto cha ITV?

Ni kitu gani ambacho kinashindikana kuimarisha shirika letu la TPDC ki technocrat, ki maji na kimiundo mbinu? Ni shillingi ngapi zinahitajika kufanya hivyo?

Halafu ni makosa makubwa kwa technocrats kutojua au kupindisha au kupuuzia maamuzi ya mkuu wa nchi hususani hiyo TZS 100 billion.
 
Yaani huwa nashangaa binadamu mwenye akili timamu anayeamini chochote toka kwa mwana CCM.

Leo kuna mbunge huko bungeni amesema Royal Tour imeanza kulipa kwani hata kwenye tamthiliya ya "Revenge" -

Azam Two, kuna mtu ameulizwa apelekwe wapi, eti " au Tanzania". Yaani yeye mbunge hajui kabisa kuwa ile sauti ya kiswahili (dubbing) imefanywa na Azam na kubadilishwa baadhi ya uhalisia!!?

Mbunge,tena mmama anaonyesha uwongo wake hadharani pasi na aibu.

Hao ndio CCM, wana wa yule baba wa uongo.
Wengine michepuko inalipwa fadhila. Kuna mmoja unamiliki hotel ya ghorofa hapo mwemge hebu fuatilia zaidi uwe na uhakika
 
Wewe Kilatha na yule Duksi naona mnatoka jamii moja, mnayojiita technocrats wa uagizaji wa mafuta.

Takwimu mnazotumia sijui mnazitoa kwenye mamlaka ipi ya takwimu za nchi yetu. Reference yenu Kipima joto cha ITV! Ni maajabu ya dunia. Haya takwimu zenyewe kila mtu ana zake:
  • Haya wewe unasema matumizi yetu kwa siku ni barrels 70,000 sawa na lita 11,130,000 kwa siku.
  • Mwenzako Duksi anasema ni lita 10,900,000 kwa siku.
  • Waziri wenu wa nishati anasema ni lita 3,933,300 kwa siku kwa mwezi May ila kwa mwezi June, baada ya ruzuku ya sh 100 billion kupatikana, matumizi kwa siku yatakuwa lita 6,143,718!

Ununuzi wa mafuta hauna tofauti na Ununuzi wa bidhaa zingine. Zote zina sehemu zinazotengenezwa, yaani kiwandani. Viwanda huwa haviuzi bidhaa zake kwa rejareja bali huuza in bulk kwa yule mwenye uwezo wa kifedha. Ni mbumbu gani utamdanganya kwamba hayo makampuni yanayopewa tender na serikali yana uwezo mkubwa kuliko serikali kuleta mafuta hayo?

Nani hajui kwamba tendering process hasa nchini kwetu imegubikwa na corruption ya hali ya juu? The lowest tenderer Ni yule aliyeweza kushibisha matumbo ya members of the Tender Board na the Regulator of the Petroleum Bulk Procurement Agency. Nani hajui kwamba hata baadhi ya hao so called technocrats nao huvuta chao? Hata baadhi ya ya wana takukuru na polisi, nao huvuta chao kulingana na urefu wa kamba zao?

Kipi ambacho hujaelewa hapa kama wewe ni technocrats wa ukweli? Bei tunayozungumza hapa ni cost, freight & insurance (cif) price ya lita moja ya refined oil, ambayo waziri wako aliitaja huko bungeni kuwa ni TZS 2,100. Wewe una refer ya Kipima joto cha ITV!

Waziri wako, akiwa huko Arusha kwenye mkutano na waandishi wa habari, alisema kuwa mwezi August 2021 hao mawakala wako wa lowest tender walituletea mafuta kwa cif price ya dola 30 kwa metric ton moja ya ujazo. Kipindi hicho pipa la crude oil lilikuwa linauzwa dola 73. Mwezi Desemba 2021, wakati bei ya crude oil kwa pipa ikiwa imefikia dola 86, TPDC walifanikiwa kuyaleta mafuta hayo kwa cif price ya dola 20 kwa metric ton moja ya ujazo. Baada ya hapo TPDC wakapigwa ban kuendelea kuleta nchini mafuta haya hadi sasa. Kipi ambacho ni kigumu kukielewa hapo? Kinahitaji utalaamu gani kukielewa hawa technocrats wa Kipima joto cha ITV?

Ni kitu gani ambacho kinashindikana kuimarisha shirika letu la TPDC ki technocrat, ki maji na kimiundo mbinu? Ni shillingi ngapi zinahitajika kufanya hivyo?

Halafu ni makosa makubwa kwa technocrats kutojua au kupindisha au kupuuzia maamuzi ya mkuu wa nchi hususani hiyo TZS 100 billion.
Hakuna mahala nimejiita technocrat, nimetumia hilo neno kwenye ku refer wahusika walioshiriki mjadala.

Ila jamaa aisee ina maana wewe unaelewa process za kuagiza mafuta na kupanga bei kushinda mkrugenzi wa mafuta wizarani na engineer wa EWURA tena mwenye majukumu ya kusimamia ubora na kupanga bei. Mada imeelezea operation strategy yote from bidding to the fuel pump.

Kuhusu rushwa Tanzania sio jambo la ajabu ata wewe unaweza kuwa na tender ya kusambaza chochote cha biashara ukaweka kiwango cha offer kitakachozingatiwa kwa wanaotaka kukusambazia. Katika harakati za ushindani wa kupata tender wafanyabiashara watamtafuta procurement officer watampoza na cha juu awapendelee kupata tender lakini watalipa kiwango kile kile cha offer unachotaka ili kupata tender kibiashara.

So rushwa mara nyingi ni mbinu tu ya kupata upendeleo wa kibiashara Tanzania lakini aina maana mara zote it equates on compromise on actual quality of the contract hayo mambo ya ovyo yapo kwenye miradi ya ujenzi.

Sasa ungesikiliza hiyo video wahusika wanaosimamia hizo process za operation ya uagizaji wameelezea namna mchakato ulivyo fair and open kwa wadau wote ambao ni registered as oil importers. Hayo mambo mengine ni wewe unayaelezea tu not malalamiko ya wachezaji kwenye kuagiza mafuta.

Halafu kwa sababu wewe unatumia gari basi usidhani mafuta yanayotumika Tanzania ni petrol tu, unapotaja barrels elewa unazungumzia mchanganyiko wa lita za mafuta ambazo zinajumuisha petrol/diesel/mafuta ya ndege na taa; na kwenye mix hiyo Tanzania inatumia between 68000-70000 barrels a day.

Unasema process za kuagiza mafuta zipo wazi kwenye soko huru hakuna anaekubishia; sasa kama unafahamu hilo ni kwa namna gani TPDC itakuwa na advantage zidhi ya wengine ata wakiagiza wao wenyewe. Where is the logic in your argument?

Mwisho serikali aikusema itaweka (inject) cash ya billion 100, bali itapunguza tozo zenye thamani ya billion 100. Improve your listening skills watu wanasema A wewe unatafsiri Z.

Msingi wa misunderstanding zako zipo wazi usikilizi wahusika wanatoa maelezo gani. Kwenye kesi ya kupora hakuna credible source ya evidence kama victim testimony au shahidi aliekuwepo.

Similarly kukusaidia tu hakuna credible source muhimu ya biashara ya mafuta Tanzania (this includes any journal from anywhere in the world or any website) kushinda maelezo ya mkurugenzi wa mafuta, manager EWURA or any other senior servant alieajiliwa kwenye hiyo sector. That if ulifundishwa anything about credible referencing on current issues mwaka wa kwanza chuo.
 
Nina imani na bunge letu chini ya Dr Tulia katika kusimamia serikali kwa niaba yetu. Kazi lazima iendelee.
samahani mimi siamini Tulia! ninachoamini baada ya watu kubinuka samasoti kinachofuata ni kucheza muziki na kulala tu!@
 
Kwenye kuandika either uwe una critise, analyse or evaluate; hakikisha unatumia reference sahihi, apply reasoning za industry husika in relation to the structure of your market environmental and so forth.

Kwa mantiki hiyo kabla ya kukosoa bulk procurement na kusema mfumo wake ni wa ulanguzi ungeelezea how they can cheat consumers; wakati ili ulete mafuta unashinda tender based on lowest bid.

Regulator ‘Petroleum Bulk Procurement Agency’ na wenyewe wanaangalia bei za refined oil sokoni kuona kama kweli hizo ndio possibles cheapest prices.

There is no secrecy on ‘Bulk procurement’ na bei za refined sio sawa na bei unazotumia za crude oil. Wameshaelezea ukitaka kujua hizo bei kwa mwezi ingia S&P Global, huko ndio utaona bei za refined oil zinazotangazwa na Platts (au ingia directly kwenye website yao).

TPDC kununua mafuta sokoni hakutafanya bei ya mafuta ishuke kwanza tayari wanashiriki at small scale hawana advantage zozote kwenye manunuzi tofauti na wengine if anything wanazidiwa storage capacity na private organisations.

Waziri hakusema watatoa liquid cash ya tsh billioni 100, walichosema temporarily watasemehe makusanyo yenye thamani ya billion 100 kupitia fees, levies and taxes.

Tanzania aitumii barrels 18,000 a day, sasa hivi roughly ni 70000 barrels a day.

Kibaya zaidi jamaa wa EWURA wametumia muda mwingi sana kuelezea global market and Tanzania market structure.

Sasa sio lazima kila mtu akubaliane na hoja zao; but it’s a point of reference unapotaka kutoa njia mbadala. Uwezi kujitungia tu vitu kichwani kwako on what you think is right bila ya kuelewa vitu vinafanyikaje kwanza then utoe mapendekezo on merit.

Kuna shida kubwa sana kwenye ku decode information Tanzania; wahusika wanaweza tumia muda mwingi kuelezea jambo from scratch to how the whole operation works from beginning to end. Ajabu kuna watu watasikia vitu vingine kabisa na kilichosemwa kwa marudio.

Kaazi kweli kweli
You have a point.
 
Back
Top Bottom