Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,219
Ukweli una tabia ya kujitenga na uongo, mwaka huu CHADEMA imeonyesha udhaifu mkubwa sana hii ni kutokana na pengine walikuwa hawajajiandaa na kampeni za mwaka huu.
Nimeona mapokezi ya MwanaFA kule Muheza na jinsi alivyoandaa kampeni zake pale uwanja wa Muheza.
Mapokezi yalikuwa mazuri sana na zaidi jukwaa na jinsi kampeni zilivyopangika kwa hakika amemzidi mbali sana mgombea wetu.
MwanaFA kwenye siasa bado ni mchanga sana ila kwa jinsi alivyoendesha kampeni zake leo ni wazi kuna la kujifunza kwenye chama chetu chadema.
Sijajua ni nani hadi sasa ana-organize mikutano ya chama, kwa maana imekuwa "too local" unaweza sema mtu anagombea udiwani.
Jana mMwanza tuliona Mwanza picha za juu(zilizopigwa kwa drones), ila Dar tulinyimwa na hata leo huko sShinyanga hatujapewa picha ya juu hata moja.
Tujirekebishe hapo, la sivyo lawama za kuibiwa kura zitakuwa nyingi huku uhalisia haukuwa hivyo
Video hii hapa chini
.
Nimeona mapokezi ya MwanaFA kule Muheza na jinsi alivyoandaa kampeni zake pale uwanja wa Muheza.
Mapokezi yalikuwa mazuri sana na zaidi jukwaa na jinsi kampeni zilivyopangika kwa hakika amemzidi mbali sana mgombea wetu.
MwanaFA kwenye siasa bado ni mchanga sana ila kwa jinsi alivyoendesha kampeni zake leo ni wazi kuna la kujifunza kwenye chama chetu chadema.
Sijajua ni nani hadi sasa ana-organize mikutano ya chama, kwa maana imekuwa "too local" unaweza sema mtu anagombea udiwani.
Jana mMwanza tuliona Mwanza picha za juu(zilizopigwa kwa drones), ila Dar tulinyimwa na hata leo huko sShinyanga hatujapewa picha ya juu hata moja.
Tujirekebishe hapo, la sivyo lawama za kuibiwa kura zitakuwa nyingi huku uhalisia haukuwa hivyo
Video hii hapa chini
.