Mwaka huu bodi ya mikopo bajeti yake sh ngapi?

Nimeipitia hotuba ya bajeti ya wizara ya elimu kwa mwaka 2017/18 hawajaweka wazi kiwango mahsusi kwa ajili ya bodi ya mikopo. Ila wamesisitiza tu kwamba wataendelea kutoa mikopo kwa "wanafunzi wanaostahili" tu.

Pray for the best but prepare for the worst.
 
Nimeipitia hotuba ya bajeti ya wizara ya elimu kwa mwaka 2017/18 hawajaweka wazi kiwango mahsusi kwa ajili ya bodi ya mikopo. Ila wamesisitiza tu kwamba wataendelea kutoa mikopo kwa "wanafunzi wanaostahili" tu.

Pray for the best but prepare for the worst.
Wanaostahili wanakuwa na sifa zipi tofauti na wasiostahili?
 
Unaweza ukaambiwa ni mabilioni ya pesa lakini ukashangaa wakapewa milioni tisa na laki tatu na elfu ishirini na sita mia mbili themanini
 
Wanaostahili wanakuwa na sifa zipi tofauti na wasiostahili?

Mkuu subiri watoe criteria zao utazisoma na mara baada ya zoezi la uombaji kuisha na mikopo kutolewa utapima yaliyotokea kama yana sadifu vigezo walivyovitaja. Sitaki kukukatisha tamaa wala kukujaza matumaini. Kama ni muombaji basi kazana kujiombea dhidi ya hii bodi
 
Mkuu subiri watoe criteria zao utazisoma na mara baada ya zoezi la uombaji kuisha na mikopo kutolewa utapima yaliyotokea kama yana sadifu vigezo walivyovitaja. Sitaki kukukatisha tamaa wala kukujaza matumaini. Kama ni muombaji basi kazana kujiombea dhidi ya hii bodi
Bodi ya mikopo mafala tu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom