otto2020
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 197
- 426
Idadi ya watu watapungua sana kulinganisha na idadi iliyopo sasa.Hivu maximum population inayoweza kuwa supported na dunia ni kiasi gani? Mfano kwa population growth tuliyonayo, mwaka 7018 population ya dunia itakuwa imefikia watu wangapi?
1.mapenzi ya jinsia moja yataenea dunia nzima,
2.Nguvu za kiume zitaisha kabisa,(uwezo wa kusimamisha dushe itakuwa sifuri),
3.magonjwa yataongezeka zaidi
4.Nusu au zaidi ya nchi zote duniani zitakuwa na nyuklia,vita vitakuwa vinapiganwa kwa nyuklia