Mwaka 2025 natarajia kuona maandamano makubwa

Elitwege

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
5,154
10,809
Kwa jinsi Rais Magufuli anavyokwenda ,na kwa kuzingatia anavyoichekecha nchi kila kona ,mwaka 2025 natarajia kuona maandamano makubwa kutoka kwa watu hawa

1.Wamachinga, mama ntilie na boda boda.
Bila kupepesa macho makundi tajwa hapo juu kwenye utawala wa rais Magufuli wanaishi kifalme. Wanafanya biashara zao katikati ya jii na miji mikubwa bila bugudha yoyote ,mpaka wamepewa vitambulisho .Kwa kuzingatia haya makundi haya hayatakubali Magufuli aondoke madarakani 2025, hivyo wataitisha maandamano makubwa kushinikiza mabadiliko ya katiba ili rais Magufuli aendelee kukaa madarakani .
Hofu yao ya kutaka Magufuli aendelee kukaa madarakani inasababishwa na kwamba hawajui yule anayekuja ataweza kuwajali ,huenda wakaanza kufukuzwa tena na kumwagiwa vyakula vyao kama zamani.

2. Wakulima na wafugaji.
Bila shaka yoyote wakulima wa mazao yote wamenufaika mno na utawala wa rais Magufuli ,wakulima wa pamba, korosho ,kahawa ,wanakula kwa mrija tu .
Wafugaji nao wamefutiwa kodi mbalimbali za kero zaidi ya 17 ! Kama mnakumbuka kulikuwa na kodi hadi za kwato mnadani.!
Hivyo kundi hili nalo bila shaka halitakubali rais Magufuli aondoke madarakani ,hivyo kuitisha maandamano makubwa ya kumtaka Magufuli aendelee kuwa rais kwa miaka 20 zaidi.

3 Akina na mama na sekta ya afya kwa ujumla .

Rais Magufuli amewajengea vituo vya afya zaidi ya 360 na hospitali za wilaya 66 nchi nzima.
Kwa hiyo akina mama stori za kujifungulia mabarabarani na kukosa huduma bora za afya zimeisha kwenye enzi za utawala wa rais Magufuli. Hivyo kundi hili halitakubali rais Magufuli aondoke madarakani hivyo wataitisha maandamano makubwa kumshikiza abaki.

4. Itaendelea.....
 
Ukisoma uzi kama huu ndio unajua jinsi gani njaa inaweza kumdhalilisha mtu mzima mwenye familia yake na kuwa kituko mbele ya wengine.
Mtoa mada ili tu kutetea tumbo lake inabidi kujitoa ufahamu ili tu asilale njaa.
Hao uliowataja ikitokea wakaandamana haitokuwa kwa kutaka Jiwe aendelee bali itakuwa kwa chereko ya kuwa laana imefikia ukomo.
Huyu kiumbe hajaleta faraja yeyote zaidi ya kuumiza watu. Na hata wanaomtetea ndani ya mioyo yao wanaomba amalize muda wake.
 
Kwa jinsi Rais Magufuli anavyokwenda ,na kwa kuzingatia anavyoichekecha nchi kila kona ,mwaka 2025 natarajia kuona maandamano makubwa kutoka kwa watu hawa

1.Wamachinga, mama ntilie na boda boda.
Bila kupepesa macho makundi tajwa hapo juu kwenye utawala wa rais Magufuli wanaishi kifalme. Wanafanya biashara zao katikati ya jii na miji mikubwa bila bugudha yoyote ,mpaka wamepewa vitambulisho .Kwa kuzingatia haya makundi haya hayatakubali Magufuli aondoke madarakani 2025, hivyo wataitisha maandamano makubwa kushinikiza mabadiliko ya katiba ili rais Magufuli aendelee kukaa madarakani .
Hofu yao ya kutaka Magufuli aendelee kukaa madarakani inasababishwa na kwamba hawajui yule anayekuja ataweza kuwajali ,huenda wakaanza kufukuzwa tena na kumwagiwa vyakula vyao kama zamani.

2. Wakulima na wafugaji.
Bila shaka yoyote wakulima wa mazao yote wamenufaika mno na utawala wa rais Magufuli ,wakulima wa pamba, korosho ,kahawa ,wanakula kwa mrija tu .
Wafugaji nao wamefutiwa kodi mbalimbali za kero zaidi ya 17 ! Kama mnakumbuka kulikuwa na kodi hadi za kwato mnadani.!
Hivyo kundi hili nalo bila shaka halitakubali rais Magufuli aondoke madarakani ,hivyo kuitisha maandamano makubwa ya kumtaka Magufuli aendelee kuwa rais kwa miaka 20 zaidi.

3 Akina na mama na sekta ya afya kwa ujumla .

Rais Magufuli amewajengea vituo vya afya zaidi ya 360 na hospitali za wilaya 66 nchi nzima.
Kwa hiyo akina mama stori za kujifungulia mabarabarani na kukosa huduma bora za afya zimeisha kwenye enzi za utawala wa rais Magufuli. Hivyo kundi hili halitakubali rais Magufuli aondoke madarakani hivyo wataitisha maandamano makubwa kumshikiza abaki.

4. Itaendelea.....
Rubbish! Mbona ajira huzigusii au hayo siyo makundi yenyewe
 
Hawa viwavi wa ccm wanakanyagwa siyo bure. Nani hapa nchi hii ana furaha mi nahisi hata hao mawazili wanalichukia sana hilo jamaa lakini hakuna jnsi.
 
Kwa jinsi Rais Magufuli anavyokwenda ,na kwa kuzingatia anavyoichekecha nchi kila kona ,mwaka 2025 natarajia kuona maandamano makubwa kutoka kwa watu hawa

1.Wamachinga, mama ntilie na boda boda.
Bila kupepesa macho makundi tajwa hapo juu kwenye utawala wa rais Magufuli wanaishi kifalme. Wanafanya biashara zao katikati ya jii na miji mikubwa bila bugudha yoyote ,mpaka wamepewa vitambulisho .Kwa kuzingatia haya makundi haya hayatakubali Magufuli aondoke madarakani 2025, hivyo wataitisha maandamano makubwa kushinikiza mabadiliko ya katiba ili rais Magufuli aendelee kukaa madarakani .
Hofu yao ya kutaka Magufuli aendelee kukaa madarakani inasababishwa na kwamba hawajui yule anayekuja ataweza kuwajali ,huenda wakaanza kufukuzwa tena na kumwagiwa vyakula vyao kama zamani.

2. Wakulima na wafugaji.
Bila shaka yoyote wakulima wa mazao yote wamenufaika mno na utawala wa rais Magufuli ,wakulima wa pamba, korosho ,kahawa ,wanakula kwa mrija tu .
Wafugaji nao wamefutiwa kodi mbalimbali za kero zaidi ya 17 ! Kama mnakumbuka kulikuwa na kodi hadi za kwato mnadani.!
Hivyo kundi hili nalo bila shaka halitakubali rais Magufuli aondoke madarakani ,hivyo kuitisha maandamano makubwa ya kumtaka Magufuli aendelee kuwa rais kwa miaka 20 zaidi.

3 Akina na mama na sekta ya afya kwa ujumla .

Rais Magufuli amewajengea vituo vya afya zaidi ya 360 na hospitali za wilaya 66 nchi nzima.
Kwa hiyo akina mama stori za kujifungulia mabarabarani na kukosa huduma bora za afya zimeisha kwenye enzi za utawala wa rais Magufuli. Hivyo kundi hili halitakubali rais Magufuli aondoke madarakani hivyo wataitisha maandamano makubwa kumshikiza abaki.

4. Itaendelea.....
Kwa uandishi huu itakuwa ngumu kuuondoa usenge na ushoga hata malaika akishuka. Maaskofu na viongozi wamejitahidi kukemea, lakini Tabia inazidi kuwathiri vijana wengi wa lumumba
 
Kwa uandishi huu itakuwa ngumu kuuondoa usenge na ushoga hata malaika akishuka. Maaskofu na viongozi wamejitahidi kukemea, lakini Tabia inazidi kuwathiri vijana wengi wa lumumba
Wakiondoa ushoga utakula wapi maana kula yako ni mpaka ubinuliwe hapo ufipa
 
Kwa jinsi Rais Magufuli anavyokwenda ,na kwa kuzingatia anavyoichekecha nchi kila kona ,mwaka 2025 natarajia kuona maandamano makubwa kutoka kwa watu hawa

1.Wamachinga, mama ntilie na boda boda.
Bila kupepesa macho makundi tajwa hapo juu kwenye utawala wa rais Magufuli wanaishi kifalme. Wanafanya biashara zao katikati ya jii na miji mikubwa bila bugudha yoyote ,mpaka wamepewa vitambulisho .Kwa kuzingatia haya makundi haya hayatakubali Magufuli aondoke madarakani 2025, hivyo wataitisha maandamano makubwa kushinikiza mabadiliko ya katiba ili rais Magufuli aendelee kukaa madarakani .
Hofu yao ya kutaka Magufuli aendelee kukaa madarakani inasababishwa na kwamba hawajui yule anayekuja ataweza kuwajali ,huenda wakaanza kufukuzwa tena na kumwagiwa vyakula vyao kama zamani.

2. Wakulima na wafugaji.
Bila shaka yoyote wakulima wa mazao yote wamenufaika mno na utawala wa rais Magufuli ,wakulima wa pamba, korosho ,kahawa ,wanakula kwa mrija tu .
Wafugaji nao wamefutiwa kodi mbalimbali za kero zaidi ya 17 ! Kama mnakumbuka kulikuwa na kodi hadi za kwato mnadani.!
Hivyo kundi hili nalo bila shaka halitakubali rais Magufuli aondoke madarakani ,hivyo kuitisha maandamano makubwa ya kumtaka Magufuli aendelee kuwa rais kwa miaka 20 zaidi.

3 Akina na mama na sekta ya afya kwa ujumla .

Rais Magufuli amewajengea vituo vya afya zaidi ya 360 na hospitali za wilaya 66 nchi nzima.
Kwa hiyo akina mama stori za kujifungulia mabarabarani na kukosa huduma bora za afya zimeisha kwenye enzi za utawala wa rais Magufuli. Hivyo kundi hili halitakubali rais Magufuli aondoke madarakani hivyo wataitisha maandamano makubwa kumshikiza abaki.

4. Itaendelea.....
Nakuongezea kundi lingine watakaoungana na hao uliowataja. Wakulima wa mbaazi, wakulima wa korosho wasomi wote na wanafunzi wa Elimu ya juu walionufaika na mikopo, wahitimu wa vyuo vikuu kuanzia 2015 mpaka 2025.wafanyabiashara wote na wastaafu wote walionufaika na kikokotoo kipya. itaendelea........
 
Kwa jinsi Rais Magufuli anavyokwenda ,na kwa kuzingatia anavyoichekecha nchi kila kona ,mwaka 2025 natarajia kuona maandamano makubwa kutoka kwa watu hawa

1.Wamachinga, mama ntilie na boda boda.
Bila kupepesa macho makundi tajwa hapo juu kwenye utawala wa rais Magufuli wanaishi kifalme. Wanafanya biashara zao katikati ya jii na miji mikubwa bila bugudha yoyote ,mpaka wamepewa vitambulisho .Kwa kuzingatia haya makundi haya hayatakubali Magufuli aondoke madarakani 2025, hivyo wataitisha maandamano makubwa kushinikiza mabadiliko ya katiba ili rais Magufuli aendelee kukaa madarakani .
Hofu yao ya kutaka Magufuli aendelee kukaa madarakani inasababishwa na kwamba hawajui yule anayekuja ataweza kuwajali ,huenda wakaanza kufukuzwa tena na kumwagiwa vyakula vyao kama zamani.

2. Wakulima na wafugaji.
Bila shaka yoyote wakulima wa mazao yote wamenufaika mno na utawala wa rais Magufuli ,wakulima wa pamba, korosho ,kahawa ,wanakula kwa mrija tu .
Wafugaji nao wamefutiwa kodi mbalimbali za kero zaidi ya 17 ! Kama mnakumbuka kulikuwa na kodi hadi za kwato mnadani.!
Hivyo kundi hili nalo bila shaka halitakubali rais Magufuli aondoke madarakani ,hivyo kuitisha maandamano makubwa ya kumtaka Magufuli aendelee kuwa rais kwa miaka 20 zaidi.

3 Akina na mama na sekta ya afya kwa ujumla .

Rais Magufuli amewajengea vituo vya afya zaidi ya 360 na hospitali za wilaya 66 nchi nzima.
Kwa hiyo akina mama stori za kujifungulia mabarabarani na kukosa huduma bora za afya zimeisha kwenye enzi za utawala wa rais Magufuli. Hivyo kundi hili halitakubali rais Magufuli aondoke madarakani hivyo wataitisha maandamano makubwa kumshikiza abaki.

4. Itaendelea.....
Usisahau albino na wazee vikongwe..kwa sasa bile vifo vya kipindi vilivyomfanya hadi Pinda alie vimekoma..
Pia wenye sekta ya utalii..maana tishio la ukosefu wa tembo na faru limekoma.
Itaendelea...
 
Wale ambao hatutaandamana tunacomment wapi??
Kama naona wakulima wanavyokusunya kwa kuwalisha maneno
 
Back
Top Bottom