Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Tunaanza utekelezaji wa ilani ya chama Cha mapinduzi katika maeneo mengi hii ikiwa ni baada yakuitimishwa kwa uchaguzi mkuu nchini.
Mwaka 2015 hadi 2020 viongozi waandamizi wa chama tawala walielekeza nguvu zao kubomoa upinzani kwa kauli mbiu ya kuunga mkono. Kupitia mradi huu, wapinzani wengi hasa vijana waliokuwa wanaushawishi wa kisiasa ila hawana ajira walifanikiwa kuajiriwa mara tu walipotangaza kujiunga Ccm.
Kitendo Cha kuwapa ajira wapinzani na kuwaacha wanachama wa ccm kiliwakera wajumbe na ilipofika 2020 wajumbe kwa kauli moja waliwafyeka zaidi ya asilimia 90 ya wale waliounga mkono juhudi. Hii ilikuwa ishara tosha kwa viongozi wa ccm kwamba wanachama wamekwazika na awakufurahi kuona upinzani unakabidhiwa madaraka huku wenye ccm wakiachwa.
Aidha, katika kampeni wananchi walionekana wazi kutokukubaliana na chama Tawala kutoka na aina ya siasa zao.
Tumeanza mwaka mpya 2021 ambao ni mwaka wa Kwanza baada ya uchaguzi. Je tutaendelea kutumia nguvu kupambana na vyama vya upinzani ikiwemo chadema au tutakiimarisha chama chetu tawala? Je, vijana wa upinzani watapewa kipaumbele kwenye ajira zinazohusu uteuzi?
Naomba uwe mwaka wakuona Kama lipo lesson learned kutoka previous 5 years au bado tunawaza vilevile? Happy new year Tanzania
Mwaka 2015 hadi 2020 viongozi waandamizi wa chama tawala walielekeza nguvu zao kubomoa upinzani kwa kauli mbiu ya kuunga mkono. Kupitia mradi huu, wapinzani wengi hasa vijana waliokuwa wanaushawishi wa kisiasa ila hawana ajira walifanikiwa kuajiriwa mara tu walipotangaza kujiunga Ccm.
Kitendo Cha kuwapa ajira wapinzani na kuwaacha wanachama wa ccm kiliwakera wajumbe na ilipofika 2020 wajumbe kwa kauli moja waliwafyeka zaidi ya asilimia 90 ya wale waliounga mkono juhudi. Hii ilikuwa ishara tosha kwa viongozi wa ccm kwamba wanachama wamekwazika na awakufurahi kuona upinzani unakabidhiwa madaraka huku wenye ccm wakiachwa.
Aidha, katika kampeni wananchi walionekana wazi kutokukubaliana na chama Tawala kutoka na aina ya siasa zao.
Tumeanza mwaka mpya 2021 ambao ni mwaka wa Kwanza baada ya uchaguzi. Je tutaendelea kutumia nguvu kupambana na vyama vya upinzani ikiwemo chadema au tutakiimarisha chama chetu tawala? Je, vijana wa upinzani watapewa kipaumbele kwenye ajira zinazohusu uteuzi?
Naomba uwe mwaka wakuona Kama lipo lesson learned kutoka previous 5 years au bado tunawaza vilevile? Happy new year Tanzania