Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,548
- Thread starter
- #21
Kuna badiliko moja naliandaa kulipendekeza kuliandaa tubadilike, likikamilika nalileta humu tulijadili., hivyo sasa ni jukumu letu sisi Watanzania katika umoja wetu, kwenda na mabadiliko chanya yoyote, hivyo mwaka huu wa 2022, uwe ni mwaka wa mabadiliko, Watanzania tubadilike.
Happy New Year.
Paskali
P