Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,535
Furaha yenu mbowe atoke mpandikize mtu wenu mfanye kama mlivyofanya kwa cuf, hell noWapinzani wanatakiwa kujipanga upya na wafanye maamuzi magumu kama kuuondoa uongozi wa juu ambao ndio umewafikisha hapo.