johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,584
- 141,384
Kwaheri 2020 Karibu 2021.
Tutaikumbuka 2020 kwa ushindi wa kihistoria wa CCM ambao haujawahi kutokea tangu mfumo wa vyama vingi vya siasa uasisiwe.
Tutaikumbuka 2020 kwa kufeli kihistoria kwa Chadema kwa kupata mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa tangu mfumo wa vyama vingi vya siasa uasisiwe.
Tutaikumbuka 2020 kwa tukio la Chadema kujiweka lock down na baadae wale waliotoka lockdown wakaitwa Covid 19 baada ya kukubali kurejea bungeni na kuapishwa na Spika Ndugai katika viwanja vya bunge.
2020 Chadema ilifanya vituko vingi kuliko siasa.
Nawatakia nyote Heri ya Mwaka Mpya 2021!
Maendeleo hayana vyama!
Tutaikumbuka 2020 kwa ushindi wa kihistoria wa CCM ambao haujawahi kutokea tangu mfumo wa vyama vingi vya siasa uasisiwe.
Tutaikumbuka 2020 kwa kufeli kihistoria kwa Chadema kwa kupata mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa tangu mfumo wa vyama vingi vya siasa uasisiwe.
Tutaikumbuka 2020 kwa tukio la Chadema kujiweka lock down na baadae wale waliotoka lockdown wakaitwa Covid 19 baada ya kukubali kurejea bungeni na kuapishwa na Spika Ndugai katika viwanja vya bunge.
2020 Chadema ilifanya vituko vingi kuliko siasa.
Nawatakia nyote Heri ya Mwaka Mpya 2021!
Maendeleo hayana vyama!