Uchaguzi 2020 Mwaka 2020 Naenda na Rais Magufuli nani yuko pamoja nami

Mgombea wa Chadema I hope atakuwa lissu huyo dhalimu, dikteta, nduli na MUUAJI hafai kabisa na ndiyo sababu hata ndani ya ccm wengi hawamkubali.
Mna uhakika Lissu atafanya kwa asilimia zote!?
Naye pia atakuwa na mapungufu yake..
Tena Chadema sijui wanatumiaga akili gani ..atatokea Mtu atahamia na watamsimamisha Kama mgombea urais..Hapo ndipo CCM wanawazidi kete.
 
Suala si kufanya kwa asilimia zote bali ni kuheshimu Watanzania, katiba, mahakama, Bunge na taratibu zote za kuendesha Serikali kwa maslahi ya Tanzania na Watanzania siyo kama huu uhuni, dharau na udhalimu uliokithiri nchi hii kwenye awamu hii ya DHALIMU. Chadema nao WAKIBORONGA wanapigwa kibuti na chama kingine kushika hatamu. Ndiyo raha ya DEMOKRASIA ambayo imesaidia sana kuwa CHACHU ya maendeleo kwenye nchi za wenzetu siyo chama kinafanya uhuni, dharau, ujambazi ili tu kuendelea kung’ang’ania kuwepo madarakani. Miaka 60 ya uhuru Tanzania ina utajiri wa hali ya juu wa rasilimali na ardhi kubwa yenye rutuba lakini HATUNA CHOCHOTE CHA KUJIVUNIA. Nchi yetu bado ni HOHEHAHE TU!

Lile la kumkaribisha fisadi Lowassa Chadema lilikuwa ni KOSA KUBWA sana I am glad that I rejected that decision from day one and I was right 110%

Mna uhakika Lissu atafanya kwa asilimia zote!?
Naye pia atakuwa na mapungufu yake..
Tena Chadema sijui wanatumiaga akili gani ..atatokea Mtu atahamia na watamsimamisha Kama mgombea urais..Hapo ndipo CCM wanawazidi kete.
 
Suala si kufanya kwa asilimia zote bali ni kuheshimu Watanzania, katiba, mahakama, Bunge na taratibu zote za kuendesha Serikali kwa maslahi ya Tanzania na Watanzania siyo kama huu uhuni, dharau na udhalimu uliokithiri nchi hii kwenye awamu hii ya DHALIMU. Chadema nao WAKIBORONGA wanapigwa kibuti na chama kingine kushika hatamu. Ndiyo raha ya DEMOKRASIA ambayo imesaidia sana kuwa CHACHU ya maendeleo kwenye nchi za wenzetu siyo chama kinafanya uhuni, dharau, ujambazi ili tu kuendelea kung’ang’ania kuwepo madarakani. Miaka 60 ya uhuru Tanzania ina utajiri wa hali ya juu wa rasilimali na ardhi kubwa yenye rutuba lakini HATUNA CHOCHOTE CHA KUJIVUNIA. Nchi yetu bado ni HOHEHAHE TU!

Lile la kumkaribisha fisadi Lowassa Chadema lilikuwa ni KOSA KUBWA sana I am glad that I rejected that decision from day one and I was right 110%
Na wanaweza wakarudia Tena ule mchezo
Ulireject vipi brother...kwa kumpigia jpm au?
 
Inabidi kuwe na like na unlike itasaidia sana kupata jibu kwenye huu uzi, nashaur maderator itengeneze na unlike
 
Kosa lile haliwezi kurudiwa tena hilo nakuhakikishia likirudiwa tena ndiyo itakuwa kifo cha Chadema. Mie nimpigie kura dhalimu St Anne?
Ulimpigia Nani!??
Chadema hujawajua vizuri.
Atatokea mtu atawadanganya..
Wewe utafanyaje kuhakikisha halijirudii!??
Au ndio nyie mnawasimamisha.?
 
Back
Top Bottom