Mwaka 2019 ipigwe kura ya maoni, Rais Magufuli aruhusiwe akae hadi 2035

Usituletee uchuro wa kuchezea Katiba kwani akae madarakani ili iweje au kwa sababu unanufaika na utawala wake kwa kuwa ww ni mjomba wako!
 
Maisha yamekuwa magumu kwasababu watanzania waliamini kitu ambacho hakikuwa cha kweli, yaani uchumi ulokuwepo miaka ya nyuma haukuwa uchumi halisi ulikuwa ni wa kutengenezwa.

Kiukweli uchumi halisi ndiyo huu uuonao sasa, yaani unafanya kazi kwa bidii, unapata ujira wako na mwihsho unajipanga kulingana na kipato chako.

Uchumi halisi maana yake unafanya kazi kwa bidi kuzalisha pato la taifa huku wananchi wakipilwa ujira kulingana na kazi yao.

Hii ipo katika nchi nyingi sana duniani zinazojitambua.
ni kweli tumerudi kwenye uchumi wetu haisi ambao ni UMASIKINI NA UFUKARA WA KUTUPWA
 
Yaani mleta mada umenichefua. Kiasi kwamba nilikuwa nakula hapa inenibidi niache kula maana nimepatwa na kichefuchefu..

Hivi huna hata aibu?? Watu wengine kuweni na aibu basi hata kidogo. ...

Tanzania ya Viwanda my as*
 
Ni wapumbavu Kama nyinyi magufuli anataka kuwasikia mnaorasimisha udiktekta mshindwe na mlegee!! Kila siku anaongea kumtetea mnyonge na maskini wakati hakuna anaeteseka sasahivi Kama mnyonge na maskini Mfumuko wa bei, hakuna mikopo, elimu bure majanga, wameongeza percent ya ulipaji mikopo from 8% to 15% maskini anatetewa vipi hapo!!? hakuna kufuata sheria wala katiba mihimili inadharauliwa nchi inaendeshwa kwa mihemko depending leo kiongozi kaamkaje anakuja na mitamko ya ajabu ajabu hatutaki. Muda wake ukifika aende tu.
 
Huu ni mkakati wa huyu jamaa kubakia madarakani, ameandaa watu wake kama hawa ili aonekane anakubalika kumbe yeye ndiye anaratibu haya mambo yote, haya yote anayapata kutoka kwa Kagame,..
abakie madarakani kwa mazuri yepi aliyofanya? Ufisadi upi aliosafisha kama akina makonda wanaendelea kupiga dili.
 
Taratibu mkuu, naona kama unakwenda "too extreme" yaani unavuka mipaka.

Yanayotokea au yalotokea Burundi ni hukohuko Burundi sisi tujikite na Tanzania yetu.

Hata hivyo raisi Nkurunziza hajafanya lolote la maana katika uongozi wake na muda alokaa ukilinganisha na mwaka mmoja na miezi mitatu ya uongozi wa raisi John Magufuli.
Mkuu sijui umri wako au dhumuni la hizi hoja zako labda ni kuwafanya watu wapande jazba au umetumwa, lakini naona elements za 'utoto' ndani yake.

Unaposema 'yanayotokea Burundi ni huko huko Burundi' kwani huko Burundi yalianguka kutoka mbinguni au walizaliwa nayo? Hakuna mtu anayezaliwa akiwa jeuri, ujeuri ni zao la kiburi cha kuwa nacho au kuonewa na kudhulumiwa kulikopitiliza.

Ipo excuse moja ya 'kijinga' kabisa hutolewa na watu wasiopenda kuondoka madarakani:
Fulani ni kiongozi mzuri, ana nia ya dhati ya kuifikisha nchi fulani mahali fulani...aongezewe muda. HUU NI ULOFA!
Sifa ya kiongozi bora katika nyanja yeyote, ni uwezo wa mtu huyo ku-inspire wengine, ili na wao waliishi lile wazo na sio yeye kuwa ndio mmiliki wa vision na wengine waitikiaji. Kama umeshindwa kuiweka falsafa yako kwenye vichwa vya unaowaongoza, basi siku ya kufa kwako ndio siku ya kufa kwa vision yako. Tunavyoongea leo, kuna makampuni kama Coca Cola, Ford na Phillips waanzilishi wake walishatangulia udongoni, lkn vision zao zinaishi. Akili za Kimugabe mugabe hazizaliwi siku moja, huanza kidogo kidogo hivi na baadaye huzua balaa
 
Mkuu, wale maafisa maalum wa masijala huwa hawakosei wanapomhitaji mtu fulani
mwenye sifa.

Siku zote walikuwa wakiwekewa zengwe lakini "last time - Bingo"

Raisi John Magufuli alipitishwa kwa kuwa na sifa.

Nafikiri utanielewa.
Ama kweli wewe umepitiwa na upepo si bure ... Hivi Ndg. unajua Dunia inavyokwenda wewe? au ndio bora liende tu!!! ...

Hivi Dunia hii ya leo kuna nchi yenye utaratibu makini na watu makini katika uchambuzi wa mambo dhidi ya mtu husika kama Marekani?

Lakini angalia leo hii kuna mjadala mkubwa kuhusu kupima akili ya Trump ... huenda yule bwana kichwa chake sio sawasawa ... na jina lake lilipita masjala vilevile tena masjala yenye watu makini sio kama kule Mbweni wala pale Victoria au kule Oysterbay ... au pale Railway Station ... upo hapo!!!

Sasa wewe tulia ... tena 2018 mbali mwezi wa kumi tu hapa utaomba maji ya kunjwa mwenyewe ...!!!

Sijui profilenyako ila kajeuri hako unakapata nahisi labda kwa sababu unakamshahara ka mwisho wa mwezi kanakutia kiburi ... sasa ngoja na kamshahara kakate kwa sababu ofisi itashindwa kukulipa ndio utajua kua ... Paka nae anaweza kua chui
 
Umenifanya nitetemeke nijae na hasira nimetamani tungekuwa na majina ya ukweli humu nikujue
 
Mi natamani ahame chama, kisha agombee urais, ili nijue kama watized kweli wanamtaka ama ni nguvu ya dola inatufanya tuamini hilo
 
i
Mimi nimeziona serikali zote tano mkuu.

Zile nne zilikuwa ni za kubahatisha ila hii ni sawasawa kabisa.

Unafahamu kwamba JPM alikataa michango ya wafanyabiashara walipotaka kuchangia kampeni yake?
la pia alikusanya hela kila kona mpalka mishahara ikakatwa kwa lazima akidai anaipeleka kagera lakini hajapeleka ? alizitumia kwenye matumizi yapi labda kwa mfano?
 
Back
Top Bottom