sodoliki
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,016
Leo hii wanamikopo kwa wakulima hawajui hela itapatikana vipi, kwani mkuu kasema asikatwe mtu, mwakani wanakuwa kama vichecheCRDB wajiandae kisaikolojia tu.....mwakani zamu yao
Leo hii wanamikopo kwa wakulima hawajui hela itapatikana vipi, kwani mkuu kasema asikatwe mtu, mwakani wanakuwa kama vichecheCRDB wajiandae kisaikolojia tu.....mwakani zamu yao
Kwani benki ya kilimo haiwezi kununua mwaka ujao?
Huu ndio mwanzo wa anguko la Bank ya Kilimo Tanzania. Tunarudia makosa yaleyale ya kuingiza siasa kwenye uchumi
Hapo maana yake hakuna tena mtu mwingine kukopeshwa na Benki ya kilimo kwa sababu kipaumbele na fedha zote zinaelekezwa kwenye ununuzi wa korosho
Nasikia maneno kwamba zao la korosho ni miongoni mwa mazao ambayo yana syndicate ya hatari sana kwa wafanyabiashara wake. Itakuaje pale watakapocheza na soko na kufanya bei kwenye soko la dunia iporomoke kiasi cha kuisababishia serikali hasara kubwa?
Lakini labda ni kweli Tanzania sasa tunarudi kwa kasi kwenye siasa ya ujamaa ambapo uchumi unatumikia siasa na kwamba sio hasara kuua Shirika la Uma kama hiyo Bank ya Kilimo ili tu kutimiza matamko ya kisiasa, maana mbuzi ni wa Bwana Heri na shamba ni la Bwana Heri pia[/QUOTES
Soko la korosho utegemea internal factor na external.tuki control internal factor(value addition).tunabaki na factor za nje ambazo ni SOKO juu au chini ,kosa ni waliopewa viwanda wamefeli kuviendesha itakuwaje chokambaya kama mozambique wawaeze kubangua sisi tushindwe!!!!!!!!